Wadada wanajiona wa thamani sababu mnawapa pesa

Wadada wanajiona wa thamani sababu mnawapa pesa

..ukiniomba pesa tu,kosa la jinai
 
wa kwangu akija akiondoka hata nikimpa huwa anakataa....some ime anachukua.....ila ni wa thamani kwa kuwa nimemuonesha kuwa ni wa hivo hasa kwangu na kwa wazazi wake na sio sababu ya pesa......namjali kama wajibu wa kiume so uthamani inategemea...........maana kama akipewa mihelaa af ana mambo ya kijinga hawezi kuwa wa thamani
 
wa kwangu akija akiondoka hata nikimpa huwa anakataa....some ime anachukua.....ila ni wa thamani kwa kuwa nimemuonesha kuwa ni wa hivo hasa kwangu na kwa wazazi wake na sio sababu ya pesa......namjali kama wajibu wa kiume so uthamani inategemea...........maana kama akipewa mihelaa af ana mambo ya kijinga hawezi kuwa wa thamani


TRUE FACT
 
Hahah pesa na mwanamke ni kama pande mbili za shilingi, kwenye thread yao mpya vitu wanavyochukizwa na wanaume namba moja ni ubahili😀😀.
Kula'ela,yaani kutumia pesa kwa ajili ya kujiburudisha,ni lazima uwe na mwanamke. Kula pesa bila mwanamke ni sawa na kula ugali bila mboga.
Hivi! Inaingia akilini kweli uende bar uanze kuagiza mipombe, uyanywe mwenyewe,mwanzo mwisho bila kuwa na mwanamke! Hitimisho la furaha yako ni usingizi yaani ukalale umwene?
Maradhi ya msongo wa mawazo unayakaribisha wewe kwa sababu ya ubinafsi.
Ukimhonga mwanamke,linapokuja suala la mapenzi,utafanya kwa kujiamini sana,kwa sababu una dhamana ya fedha zako. Utajituma hadi utajiogopa! Lakini ingia kichwa kichwa hauna hata chapa uone!
Ukiambiwa 'kaka nisaidie nauli ya daladala' utatachechetuka adi utajidharau. Maana kutunga uongo napo ni kazi'ujue!
Nani alikuambia kuhonga mwanamke kwa ajili ya kulainisha penzi kunaubaya? Ee bw eeh tusipotoshane, me nikipata mlupo nahonga.
 
Kula'ela,yaani kutumia pesa kwa ajili ya kujiburudisha,ni lazima uwe na mwanamke. Kula pesa bila mwanamke ni sawa na kula ugali bila mboga.
Hivi! Inaingia akilini kweli uende bar uanze kuagiza mipombe, uyanywe mwenyewe,mwanzo mwisho bila kuwa na mwanamke! Hitimisho la furaha yako ni usingizi yaani ukalale umwene?
Maradhi ya msongo wa mawazo unayakaribisha wewe kwa sababu ya ubinafsi.
Ukimhonga mwanamke,linapokuja suala la mapenzi,utafanya kwa kujiamini sana,kwa sababu una dhamana ya fedha zako. Utajituma hadi utajiogopa! Lakini ingia kichwa kichwa hauna hata chapa uone!
Ukiambiwa 'kaka nisaidie nauli ya daladala' utatachechetuka adi utajidharau. Maana kutunga uongo napo ni kazi'ujue!
Nani alikuambia kuhonga mwanamke kwa ajili ya kulainisha penzi kunaubaya? Ee bw eeh tusipotoshane, me nikipata mlupo nahonga.
Kama unazo nyingi we honga kadri unavyoweza, hamna marufuku na watakupenda kweli kweli kipindi cha mavuno.😀😀
 
Napenda sana wadada wanaotengeneza pesa zao wenyewe.

Napenda sana wadada wanaojitegemea mwenyewe.
Nimependa wazo lako mkuu hauna tofauti na mimi kabisa
Sipendi mwanamke chakupewa atafute zake akitaka nimpe atatamani anirudishie ikiwa ataonyesha yupo after money sana na hata kama nilikuwa nampenda upendo unaisha
 
Mi nadhan huwa mnayataka wenyewe..we siku ya kwanza umemtoa out mdada kisha unamuachia elfu 30 ya vocha..kesho yake elfu 50 itakusaidia lunch. Sasa, kwa style hii usipigwe mizinga kwasababu gani eeeh??

Mjifunze kuishi uhalisia..hupendi kupigwa mizinga usitoe pasipo na haja ya kutoa pesa tangia mwanzo
 
Bwana Yesu asifiwe,

Mimi nimegundua wanawake wengi mnaowaona/wanaoonekana wathamani ni kwa sababu wapo wanaume wanaowapa pesa nyingi bila mpangilio kuliko unazotaka kumpa wewe.

Kumbe uthamani, kujidai na ujeuri wao ni kwa sababu ya hao wanaowapa pesa ovyoovyo. Kwaiyo kumbe kama wanaume watajitambua, nao pia akili yao na kujiona kwao kutapungua. Fedha mnazotumia kuwapa wadada, ungeweza kabsa kulipa Mahari mkaishi mke&mume.

Nanyi wadada MTU anaekupa fedha bila mpangilio na hana mpango wa kukuoa, mwangalie sana, na ndo maana hata fedha zinatumika pasipo mpangilio. Kwa watu wanaopendana huwa wanapeana pesa pale mmojawapo anapokua na uhitaji LAKINI SIO SHERIA MWANAUME KUMPA PESA MDADA WAKATI MPO KWENYE MAPENZI BUBU.
 
UNA HELA ZA MAFIKILIO MKUU MAPENZI HAYAKUFAI AU TONGOZA WANAFUNZ WA SECONDARY NDIO WA BURE
 
Ujue kuna wadada wanaopenda pesa hadi wana pitiliza hao ndo kuwapa pesa inaleta shida.

Wakati ikiwa si lazima kumpa dem wako pesa nadhani ni muhimu, ilimradi zipo na aridhike na ulicho nacho na unachompa
Na yeye akupe pia ukiwa broke kama anayo.
 
Wanawake kama pesa zipo wapewe tu. Maana watatutoa roho.
Wapewe kama zipo
Unawapa wakiwa na shida..na wao wakupe ukiwa na shida..hayo ndiyo mapenzi...otherwise unanunua bro
 
Haupo crias ndiyo maana hujawapata. kama unawachezea lazima na wewe wakuchezee. you do me i do you huo ndiyo mpango mzima. mimi siwezi nikakupenda kwa dhati wkt nakuona mtu mwenyewe magumashi tuu
Sasa si afadhali umwambie kuliko kumdanganya??
 
Hahah pesa na mwanamke ni kama pande mbili za shilingi, kwenye thread yao mpya vitu wanavyochukizwa na wanaume namba moja ni ubahili😀😀.
Na wao wafanye kazi watoe pesa kwa wanaume,vinginevyo watagongwa na kuachwa.
 
Back
Top Bottom