FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,064
- 40,725
Mmmh..
Aiseee!! Nmecheka sana.. Wadada Wa kitanzani kibokoMuda mchache baada ya Dr shika kulipia pesa zake alizozitawanya huko duniani. ameanza kuzingirwa na watoto wazuri.
kama wadau wa Jf walivyotabiri hapa
Note:
Jiwe walilolikataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu.
Muda mchache baada ya Dr shika kulipia pesa zake alizozitawanya huko duniani. ameanza kuzingirwa na watoto wazuri.
kama wadau wa Jf walivyotabiri hapa
Note:
Jiwe walilolikataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu.
pole sana. hata Dr shika walisema hana kitu kutokana na muonekano wake Leo hii ametoa dollar 100 sawa na 230000tsh. bado wabongo hamjifunzi tu?Huyo mdada anaonekana ana uwezo mkubwa sio size ya mzee shika
Mzee ana mambo huyu kwa kweli hata mm nilishangaaAnadai amemfukuza adui UJINGA mbali sana sasa alikuwa ameanza kwa adui namba 2 UMASKINI duu nilicheka mno
Tena kikubwa sana yuko kistaarabu sana na anaongea kwa point kwa point nadhani kuna kikubwa sanaaMzee ana mambo huyu kwa kweli hata mm nilishangaa
mazungumzo yake yana kitu flani
Mkuu wazee wengine kadri umri unavyosonga, ndivyo na nguvu zinazidi kuongezekaWatamuua tu! maana sidhani kama anapower ya kuwapelekea moto!
Binadam na vipindi vyakeWamuache MZEE wa watu; wengi hawakuwa upande wake.Walimdharau,kumdhihaki na kumchukulia kama mtu asiye timamu.