wadada wa chuo ringeni tu

wadada wa chuo ringeni tu

E-5

Member
Joined
Aug 27, 2019
Posts
6
Reaction score
3
Wakuu ,naleta Uzi huu kwawadada wadada wa chuo ,wanaringa sana ,wanazingua sana ,wengi wapo kimaslahi zaidi

Mwaka jana rafiki yangu amelizwa na demu wa chuo hivi hivi,wadada wa chuo ringeni sana lakini kuna maisha baada chuo ,acheni ya mwenye mvuvi ,maisha yenu ,mizinga sio issue.
 
Hakuna demu rahisi kumtongoza kama aliyemaliza chuo then hana mtu, hata kama kaajiriwa.

Ninao mifano yao wengi tuu, tumemaliza nao na sasa baadhi ni single mamaz na wengine watangatanga tuu.

Wadada tambueni lifespan ya ujana ni fupi sana, msiichezee vibaya.


AT YOUR OWN RISK.
 
Wa chuo wanamategemeo makubwa sana kama wanavyosoma kwenye theory,ndio maana wanajikita kwenye pesa.Kuna mmoja nilikuwa naye kipindi cha nyuma kama mchepuko,nikajikuta matumizi yanazidi kipato kwa siku....ikabidi nikae pembeni niepushe msongamano.
 
Hakuna demu rahisi kumtongoza kama aliyemaliza chuo then hana mtu, hata kama kaajiriwa.

Ninao mifano yao wengi tuu, tumemaliza nao na sasa baadhi ni single mamaz na wengine watangatanga tuu.

Wadada tambueni lifespan ya ujana ni fupi sana, msiichezee vibaya.


AT YOUR OWN RISK.
🤣🤣🤣🤣🤣 wacha nifanye mradi wa kuwalabua ile kibaharia. Wakiwa chuo wananata sana kama wametokea sayari ya Mars.
 
Wa chuo wanamategemeo makubwa sana kama wanavyosoma kwenye theory,ndio maana wanajikita kwenye pesa.Kuna mmoja nilikuwa naye kipindi cha nyuma kama mchepuko,nikajikuta matumizi yanazidi kipato kwa siku....ikabidi nikae pembeni niepushe msongamano.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kumiliki sista du wa chuo ni sawa na kumiliki VX V8...lazma uwe vizuri maana deile unakata pochi nene.

Sasa kama umezoea videmu vya mtaani level za passo mafuta ya 10,000 unamaliza mji kaa kwa kutulia babaali.😆😆😆
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kumiliki sista du wa chuo ni sawa na kumiliki VX V8...lazma uwe vizuri maana deile unakata pochi nene.

Sasa kama umezoea videmu vya mtaani level za passo mafuta ya 10,000 unamaliza mji kaa kwa kutulia babaali.😆😆😆
🤣🤣🤣🤣🤣 wacha nifanye mradi wa kuwalabua ile kibaharia. Wakiwa chuo wananata sana kama wametokea sayari ya Mars.
hahahahahaha safiii
 
Wakuu ,naleta Uzi huu kwawadad wadada wa chuo ,wanaringa sana ,wanazingua sana ,wengi ni money oriented,mwaka jana rafiki yangu amelizwa na dem wa chuo hivi hivi,wadada wa chuo ringeni sana lkn maisha after chuo ,acheni ya mwenye mvuvi ,maisha yenu ,mizinga so issue
Ebu kuwa kama mimi mkuu, huwa nawasubiria huku mtaani wakisha toka chuoni....
 
Wewe utakuwa 20%
Wa chuo wanamategemeo makubwa sana kama wanavyosoma kwenye theory,ndio maana wanajikita kwenye pesa.Kuna mmoja nilikuwa naye kipindi cha nyuma kama mchepuko,nikajikuta matumizi yanazidi kipato kwa siku....ikabidi nikae pembeni niepushe msongamano.
 
Ebu kuwa kama mimi mkuu, huwa nawasubiria huku mtaani wakisha toka chuoni....
heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!
Ningekuwa na namba yako ya simu ningekupigia muda mkuu nimependa hii comment yako
 
Boss wako ni Baharia mbinafsi! Anavtomber vyote?
Kunae viwanachuo kutoka UDSM vimekuja hapa ofisini kwetu vinaringa hivyo
Boss wangu ndio anavishikisha adabu kwa kuvitomb* for free (mama mkanye mwanao)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom