Wadada tutete kidogo

na kofi moja zito la kurestore settings to factory settings
 
Umenena vyema Dada

Tuamke jamani
 
Ongezea na hili... ana tatto sehemu hatarishi... kiasi kwamba inampasa muda mote ake mikao ya hasara hasara ili tatto zake ziweze kuonekana...

Hawatakuelewa... sababu binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...



Cc: mahondaw
hahahaa ...inasikitisha atii
 
tutajitahidi dada mkubwa kujenga sio kazi ngumu tatizo viwanja milion kadhaa otherwise ujenge nje ya mji kazi unafanya town
Hakuna limit lakini fanya efforts za kuondoka, hata ikiwa chumba na sebule kwenye kiwanja chako si mbaya. Ukimpata mwenye ghorofa unapangisha
 
Hiyo miaka unapigana kuachana na maisha ya kwenye chumba. Hand bags tatu zinatosha, moja ya night out, moja ya kazini na mojavya kanisani. Ikiwezekana ya kazini na kanisani hiyo hiyo mpaka iharibike zipu.
walai nikimpata mke wa dizaini hiiii hata kama akiwa dini ya Mtume nani sijui nabadilisha namuoa...Hawapo wanawake wa hivyo siku hizi yani asubiri mpk nguo/pochi iishe ndo anunue ingine? Hawapo

Ukitaka kujua hawapo uliza mwanamke mwenye pair MBILI tu za viatu anyooshe mkono..akiwepo akaweka na ushahidi Natoa 50,000 LIVE..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…