Wadada tusilazimishe ndoa

Kidogo watie moyo wenzio sio wakiona sofa na kitanda wanajua ndo mwanaume umeshajipanga.
 
Swala la kuoa/kukuoa nila mwanaume mdada hupaswi kabisa kugusia wala kumwambia, ni wewe kuangalia upepo kama unaona haeleweki unachapa mwendo.
 
Jaman wadada kuwa vzr kiuchumi sio ndio tayar kuoa, hayo maswal yanatuchosha mtaan yaani kila KE ukimgusia tu unasikia unamalengo gani na mm. Sasa kwan kila KE ataolewa? Wengine watabaki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…