Wadada tunaopenda savvana tukutane hapa

Viwanja kadhaa navyopita kwa sasa naona wadada wengi wanaopendelea bia ukiachana na wapendelea wine, wamehamia kwenye Serengeti light na si Redd's tena.

Ila kuna bia moja inaitwa DESPERADOS nakushauri uijaribu hiyo ipo viwanja vichache kwa hapa bongo ila sehemu yeyote classic hawakosi hiki hususani wanapofika wazungu wazungu.

Ilitaka kupita humo humo kwenye Redd's , Savannah na St. Anna ila hii itakufaa na utaipenda.

Na safari ndogo
 
50d70bb93ebcb3f4af7998fcd62f2e09.jpg


Wadada hatupendi vinywaji vikali na vyenye ladha kali au mbaya wengi tunafurahia uwepo wa savvana.

Nakipenda kinywaji hiki jaman nawakaribisha wadada wa Jf muanze kutumia.
Nilikuona mahali mida flani hivi.....
Ebu ngoja nimalizie kinywaji changu hapa Rose Garden, then nikuje hapo...
 
50d70bb93ebcb3f4af7998fcd62f2e09.jpg


Wadada hatupendi vinywaji vikali na vyenye ladha kali au mbaya wengi tunafurahia uwepo wa savvana.

Nakipenda kinywaji hiki jaman nawakaribisha wadada wa Jf muanze kutumia.
Nilikuona mahali mida flani hivi.....
Ebu ngoja nimalizie kinywaji changu hapa Rose Garden, then nikuje hapo...
 
Viwanja kadhaa navyopita kwa sasa naona wadada wengi wanaopendelea bia ukiachana na wapendelea wine, wamehamia kwenye Serengeti light na si Redd's tena.

Ila kuna bia moja inaitwa DESPERADOS nakushauri uijaribu hiyo ipo viwanja vichache kwa hapa bongo ila sehemu yeyote classic hawakosi hiki hususani wanapofika wazungu wazungu.

Ilitaka kupita humo humo kwenye Redd's , Savannah na St. Anna ila hii itakufaa na utaipenda.

eti DESPERADOS kweli wee utakua mtaalam wa viwanja bado kuna moja inaitwa AMSTEL BEER Ni shidah

Ila Serengeti lite imeharibu soko la imported beer
 
Back
Top Bottom