Ewaaa!zanzi na amarula ni kama ndugu..ni nzuri kwa kweliNa zanzi piah
Viwanja kadhaa navyopita kwa sasa naona wadada wengi wanaopendelea bia ukiachana na wapendelea wine, wamehamia kwenye Serengeti light na si Redd's tena.
Ila kuna bia moja inaitwa DESPERADOS nakushauri uijaribu hiyo ipo viwanja vichache kwa hapa bongo ila sehemu yeyote classic hawakosi hiki hususani wanapofika wazungu wazungu.
Ilitaka kupita humo humo kwenye Redd's , Savannah na St. Anna ila hii itakufaa na utaipenda.
Wanaume wa Dar ndio kinywaji Chao hiko usiwakaribishe wadada wa jf tuu pekee.
Nilikuona mahali mida flani hivi.....
Wadada hatupendi vinywaji vikali na vyenye ladha kali au mbaya wengi tunafurahia uwepo wa savvana.
Nakipenda kinywaji hiki jaman nawakaribisha wadada wa Jf muanze kutumia.
Nilikuona mahali mida flani hivi.....
Wadada hatupendi vinywaji vikali na vyenye ladha kali au mbaya wengi tunafurahia uwepo wa savvana.
Nakipenda kinywaji hiki jaman nawakaribisha wadada wa Jf muanze kutumia.
Ladha ya savanna na saint Anna huwa naona zinaelekeana...hazinivutii
Japokuwa sijawahi kunywa mikojo,ila huwa nahisi zina ladha ya mikojo
Napenda zaidi amarula
Amarula......Ladha ya savanna na saint Anna huwa naona zinaelekeana...hazinivutii
Japokuwa sijawahi kunywa mikojo,ila huwa nahisi zina ladha ya mikojo
Napenda zaidi amarula
Kawaida tuUtakua unapenda mgegedo after drinking sio bure
Safi sana.....mi nakunywa maji tu
Viwanja kadhaa navyopita kwa sasa naona wadada wengi wanaopendelea bia ukiachana na wapendelea wine, wamehamia kwenye Serengeti light na si Redd's tena.
Ila kuna bia moja inaitwa DESPERADOS nakushauri uijaribu hiyo ipo viwanja vichache kwa hapa bongo ila sehemu yeyote classic hawakosi hiki hususani wanapofika wazungu wazungu.
Ilitaka kupita humo humo kwenye Redd's , Savannah na St. Anna ila hii itakufaa na utaipenda.
Ebu malizia hapoMie ndiyo mshika kibenderaa tena uikute ya baridiiii unaisikikizia mpk kwenye naniliuuuuu........naniliuuu
OhoooLadha ya savanna na saint Anna huwa naona zinaelekeana...hazinivutii
Japokuwa sijawahi kunywa mikojo,ila huwa nahisi zina ladha ya mikojo
Napenda zaidi amarula