Wadada taratibu jamani

Wadada taratibu jamani

Hahahahah hapo mwisho nimecheka!!!!,. ila chenye mwanzo kina mwisho mkuu,. alaf hii kitu ndo naipata kwako leo, vip umekutana nayo na kwa wa wangap???? lazm kuwe na kaushahd hapo,, au we ndo unaviuza hvo vitu na unawateja weng?????,.
hii ni habari ya mujini.kama huijui imekula kwako! wenzio wamejiongeza katika ubunifu......binafsi.sifagilii mambo kaa hizo ndio maana nawachana hapa.
 
Kaka watajie kabisa unapotoka. Maana watakuja sasa hivi kutusingizia wanaume wa Dar!
katika hili wanawake wanaumoja kwakuwa wote lengo lao ni kudatisha wanaume wanunue magari na viwanja/nyumba kwa utamu wa papuchi.wanajua wapi watazipata.DAR ni zaidi ya uijuavyo.
 
Umesahau pia mchai chai, ubuyu, karafuu, hamira, hina, maji ya betri, coca cola, mdalasini, pilipili kichaa na kungu manga.
vyote humohumo? aisee i wish rubii angevijaribu ili kupima tbs
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom