Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Bwa ha ha ha ha !!! We jamaa ni mwehuuuMuite ndani umuombee atakuwa na mapepo.
Bwa ha ha ha ha !!! We jamaa ni mwehuuuMuite ndani umuombee atakuwa na mapepo.
hiyo ni kukaribisha majipu, haipo hiyo maana wanawake wako wengi alichonacho nitakipata popote, yeye ameshagegedana vya kutosha leo hii baada ya kukosa soko ndio anajileta kwangu.. Mm sio fungu la kukosa au muokota mizogapoa mkuu lkn kamaitatokea anashida ya kitu ambacho unauwezo nacho ww mpatie just be a gentleman
Ni wewe nini madame..Mnaona raha wenyewe na lugha zenu
Haka kademu kalikuzingua sana jombaaMijanamke used mimi hamna tuu...
Naamini cku moja Ex-gf wangu (yule alienitia hasara majuzi) atarudi ulimi chini anatambaa...
Kubabake nitakacho fanya ni kumgonga na kum dump...
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Acha roho mbayaTulia Mgegede kwanza Last time halafu piga chini kwa kumuumiza
Zina nini?Thread za hv aiseeeee
Hahahaah yeye alivyomtenda mwenzake haikuwa roho mbaya??Acha roho mbaya