Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,701
Mkuu ni kweli... Ishanikuta kitu kama hii....and nli apply tha same tactics unazotumia. Mbna alinifata mwenyewe akaomba tuyamalize.....kuna namna ya kuwafunza adabu such people bila ya shari wala kurushiana maneno na waka kuheshimu.
I really dislike such people....i really like when a woman akiwa mshkaj nd kama ni kitu hapendi anakuweka wazi and u have to respect it, life becomes really interesting and fun.
Watu humu wanasema sijui ni background au nature ya mtu. Well si kweli...kuna watu hawana adabu or maadili ya kuishi na watu. Inakuja wa cost kipindi kama hcho anapo iface dunia baada ya masomo perhaps akifika mjini au sehem yenye jumuiya ya watu tofauti tofauti.
I really dislike such people....i really like when a woman akiwa mshkaj nd kama ni kitu hapendi anakuweka wazi and u have to respect it, life becomes really interesting and fun.
Watu humu wanasema sijui ni background au nature ya mtu. Well si kweli...kuna watu hawana adabu or maadili ya kuishi na watu. Inakuja wa cost kipindi kama hcho anapo iface dunia baada ya masomo perhaps akifika mjini au sehem yenye jumuiya ya watu tofauti tofauti.