Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,886
Unakuta dada msafi na ananukia. Akitoa simu unaweza chefukwa. Case ya kulinda simu chafuu, uchafu wa mafuta na jasho umeweka weusi. Hii kitu inawapotezea sana mvuto ila nimeona fursa.
Nitaanzisha biashara ya kusafisha macase ya simu. Tsh 400 kwa case.
Nitaanzisha biashara ya kusafisha macase ya simu. Tsh 400 kwa case.