- Thread starter
- #21
Ananifaa sema huyu Mmasai wa marekani anajiachia mno mpaka nakerekaDada Marytina umesema hapo juu kuwa anakufaa,dada yangu tambua anaekufaa hawezi kukuweka kwenye imposible situation kama aliyokusababishia huyo,hiyo ni ishara kuwa hakufai na ulikuwa unajidanganya kujieleza hivyo,acha muda uzungumze kwani muda huwa hausemi uongo!Shukuru Mungu ameonesha tabia yake halisi kabla hamjaingia kwenye ndoa!
Offcourse time will tell