Wadada: Nisaidieni mganga wa kienyeji, hali yangu tete in case mnantakia mema

Marytina

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
9,285
7,143
Home Geneva of Africa,mama mchagga,baba mngoni.

Kuna mdada tulikutana naye kanisani yapata miezi mitatu
Huyo mdada ni kabila mmoja na BFwangu ,amesomea America (masai girls wengi tu wemepelekwaga huko) now days amekuwa akimtembea sana my BF, they spend most of the time to talk Kimasai,Nataman huyo mdada apate kazi nje ya ARUSHA hata kesho

Napoudhika: My BF ameanza kuwa na majibu mafupi kwa maswali marefu, kaacha ukwaya master,yaani sio yule wa siku hizo

Mimi Elimu yangu ni ya kuungaunga, simfikii mtuhumiwa wangu kwa uzuri na senti sasa hapo itakuwaje

Nataka nijaribu mganga wa kienyeji kunirekebishia upepo na kufix ndoa ya haraka manake ....................
Wapi ntapata mganga na hawa waganga ni kweli wanaweza tuelezane ukweli.Sikutakaga kabisa kwenda kwa mnganga ila hapa sina mchezo
 
Marytina,

You are too intelligent to do it! If you biwitch this Masai, lady, you will keep on doing it again and again.
It is painful, but probebly, the logical thing will be to leave nature to take it course.

If you do not want my advice, I can still assist you in other way. Pm me and will direct you to the right person, kazi kwako
 
Marytina,

You are too intelligent to do it! If you biwitch this Masai, lady, you will keep on doing it again and again.
It is painful, but probebly, the logical thing will be to leave nature to take it course.

If you do not want my advice, I can still assist you in other way. Pm me and will direct you to the right person, kazi kwako
i will let nature to take its course kwa mambo au mtu mwingine lakini sio huyo.
This Man ananifaa sana na sikuwazia kuna kipindi nitajikuta kwenye hali hii.
Akipeperuka itakuwa ni biggest loose ever in my life
 
Usifanye hivyo wala usilazimishe mapenzi yasije kukupata makubwa na ndoto zako kuishia njiani. Cha msingi tumia mdomo wako kuumba maneno ambayo yatamfanya mtu wako aelewe namna unavyopenda maisha yenu yawe wala huyo mtuhumiwa wako asikuumize kichwa just find a wayout before it's too late. Kuhusu uchawi siyo suluhisho la kudumu.
 
' Mganga' ni Bwana Yesu tu. Sali sana ikiwezekana fanya novena kabisa pamoja na kifunga. Utashinda bila kuingia dhambini.
tazama hapa:huyo binti mmasai tulikutana naye church sasa hapo itakuwaje ina maana Mungu alituingiza hilo kanisa yatokee haya?
 
BF wako mwenyewe ndio mganga wako wa kienyeji
kweli huyu hunitibia moyo wangu ila naona kuna mtu anataka ninyima access kwa huyu mtu.

pls mimi nataka mchapa vibuyu niko serious naumia sana mtu kaja huko juzijuzi anitoe
 
naweza kukusaidia...lakini neno ulolitumia ndio lanipa shaka!
Mganga wa kienyeji ndio nini maana yake?
Halafu usidanganywe....kuna kitu kina itwa ''Dimension'' naamin utaifahamu...tukianzia hapo ndipo msaada wangu utapoanzia!
Pole kwa kufikwa na maswaibu hayo!.
Pia unaweza PM.
 
Usifanye hivyo wala usilazimishe mapenzi yasije kukupata makubwa na ndoto zako kuishia njiani. Cha msingi tumia mdomo wako kuumba maneno ambayo yatamfanya mtu wako aelewe namna unavyopenda maisha yenu yawe wala huyo mtuhumiwa wako asikuumize kichwa just find a wayout before it's too late. Kuhusu uchawi siyo suluhisho la kudumu.
Nimejaribu sana kumwelekeza ananiambia no hidden agenda ila hata kama kusoma hujui picha ya mgombea unashindwa kuitambua?

Uchawi only once in my life hautaadhiri the whole mkondo wa maisha
 
Mganga wa kienyeji ni binadamu kama wewe hatakusaidia kwa chochote sababu hana uwezo wa kubadilisha mawazo ya binadamu,leo utampeleka huyo dada kesho Bf wako atamchukua mwingine utampeleka naye pia baadae utaamua kumpeleka Bf wako baada ya kumpeleka atakuwa zezeta utamuogesha utamfunga nepi na kumtoa nje apate jua kidogo MUNGU NDIE KIMBILIO WAKATI WA SHIDA MWOMBE MUNGU MAPENZI HAYALAZIMISHWAI HATA SIKU MOJA MWOMBE MUNGU KAMA HUYO BF NI WAKO ATAKUWA WAKO KAMA SIO WAKO HATA UENDE WAPI HATA HIYO NDOA UNAYOSEMA HAITADUMU HATA SIKU MOJA NA UTABAKI UKIJILAUMU MILELE ushauri wa bure
 
BF wako mwenyewe ndio mganga wako wa kienyeji

teh teh!

Marytina,
nadhani unataka kuongeza tatizo juu ya tatizo.
kwanza hujasema hapa kua tyari wanamausiano ya kimapenzi ila tu unaonekana ku-doubt
ukaribu wao.
lakini hata kamawanao uhusiano hua kwani solution ni kwenda kwa maganga wa kienyeji??
jibu ni sio au hapana. so usiende.
cha kufanya tetea penzi lako kwa jamaa yako, mweleze ukweli wa unavyohisi.
akikiri na akakutaka umwache basi mwache kwani huna kosa na maumivu utakayopata sio ya milele.
lakini pia utakua na amani kwa mwafaka huu kwa sababu you are not guild katika break up ya relation yenu.
kigine kumbuka sio kila tupebndacho ni kizuri kwetu, au tunakistahili.
may be you deserve better than him au labda mkioana huko mbele kuna magumu ambayo kwa sasa unaepushwa nayo.
finally jst watch the game time will omfirm it.
 
Home Geneva of Africa,mama mchagga,baba mngoni.

Kuna mdada tulikutana naye kanisani yapata miezi mitatu
Huyo mdada ni kabila mmoja na BFwangu ,amesomea America (masai girls wengi tu wemepelekwaga huko) now days amekuwa akimtembea sana my BF, they spend most of the time to talk Kimasai,Nataman huyo mdada apate kazi nje ya ARUSHA hata kesho

Napoudhika: My BF ameanza kuwa na majibu mafupi kwa maswali marefu, kaacha ukwaya master,yaani sio yule wa siku hizo

Mimi Elimu yangu ni ya kuungaunga, simfikii mtuhumiwa wangu kwa uzuri na senti sasa hapo itakuwaje

Nataka nijaribu mganga wa kienyeji kunirekebishia upepo na kufix ndoa ya haraka manake ....................
Wapi ntapata mganga na hawa waganga ni kweli wanaweza tuelezane ukweli.Sikutakaga kabisa kwenda kwa mnganga ila hapa sina mchezo


mganga ni wewe mwenyewe dia,
usijihangaishe!!!!!!
 
naweza kukusaidia...lakini neno ulolitumia ndio lanipa shaka!
Mganga wa kienyeji ndio nini maana yake?
Halafu usidanganywe....kuna kitu kina itwa ''Dimension'' naamin utaifahamu...tukianzia hapo ndipo msaada wangu utapoanzia!
Pole kwa kufikwa na maswaibu hayo!.
Pia unaweza PM.
Mchapa au muimbia vibuyu na kuku wa kienyeji
Dimension...which is which?
 
...Mimi Elimu yangu ni ya kuungaunga, simfikii mtuhumiwa wangu kwa uzuri na senti sasa hapo itakuwaje

Sasa kama hata wewe mwenyewe assessment yako ipo hivyo, je huyo BF yupo katika hali gani?
 
Mganga wa kienyeji ni binadamu kama wewe hatakusaidia kwa chochote sababu hana uwezo wa kubadilisha mawazo ya binadamu,leo utampeleka huyo dada kesho Bf wako atamchukua mwingine utampeleka naye pia baadae utaamua kumpeleka Bf wako baada ya kumpeleka atakuwa zezeta utamuogesha utamfunga nepi na kumtoa nje apate jua kidogo MUNGU NDIE KIMBILIO WAKATI WA SHIDA MWOMBE MUNGU MAPENZI HAYALAZIMISHWAI HATA SIKU MOJA MWOMBE MUNGU KAMA HUYO BF NI WAKO ATAKUWA WAKO KAMA SIO WAKO HATA UENDE WAPI HATA HIYO NDOA UNAYOSEMA HAITADUMU HATA SIKU MOJA NA UTABAKI UKIJILAUMU MILELE ushauri wa bure
mtuhumiwa wangu tulikutana kanisana sasa hapo sijui lakini mpango wa mungu.
Ila kama vile hujui maumivu ntakayoyapata pindi hii shaka yangu itakapokuwa kweli
 
teh teh!

Marytina,
nadhani unataka kuongeza tatizo juu ya tatizo.
kwanza hujasema hapa kua tyari wanamausiano ya kimapenzi ila tu unaonekana ku-doubt
ukaribu wao.
lakini hata kamawanao uhusiano hua kwani solution ni kwenda kwa maganga wa kienyeji??
jibu ni sio au hapana. so usiende.
cha kufanya tetea penzi lako kwa jamaa yako, mweleze ukweli wa unavyohisi.
akikiri na akakutaka umwache basi mwache kwani huna kosa na maumivu utakayopata sio ya milele.
lakini pia utakua na amani kwa mwafaka huu kwa sababu you are not guild katika break up ya relation yenu.
kigine kumbuka sio kila tupebndacho ni kizuri kwetu, au tunakistahili.
may be you deserve better than him au labda mkioana huko mbele kuna magumu ambayo kwa sasa unaepushwa nayo.
finally jst watch the game time will omfirm it.
hapo red:Nahisi tu bado sijaconfirm ila hata wewe ungekuwa ndio huyo mwanaume Cv ipi kali tuseme ukweli jamani
To be honest in my life nimewahi ku date na wawili Mhaya na Mmasai..Mhaya alininyanyasa sana nikakoma kabisa kuwa na mahusiano na mabishoo sasa what will be best than this I have/Mmasai?
 
Sasa kama hata wewe mwenyewe assessment yako ipo hivyo, je huyo BF yupo katika hali gani?
always mimi ni mkweli nimezidiwa nasema Cv ya mwenzangu inauza sana ndio maana naitaji mganga kufix mambo.
 
Dada Marytina umesema hapo juu kuwa anakufaa,dada yangu tambua anaekufaa hawezi kukuweka kwenye imposible situation kama aliyokusababishia huyo,hiyo ni ishara kuwa hakufai na ulikuwa unajidanganya kujieleza hivyo,acha muda uzungumze kwani muda huwa hausemi uongo!Shukuru Mungu ameonesha tabia yake halisi kabla hamjaingia kwenye ndoa!
 
Back
Top Bottom