Home Geneva of Africa,mama mchagga,baba mngoni.
Kuna mdada tulikutana naye kanisani yapata miezi mitatu
Huyo mdada ni kabila mmoja na BFwangu ,amesomea America (masai girls wengi tu wemepelekwaga huko) now days amekuwa akimtembea sana my BF, they spend most of the time to talk Kimasai,Nataman huyo mdada apate kazi nje ya ARUSHA hata kesho
Napoudhika: My BF ameanza kuwa na majibu mafupi kwa maswali marefu, kaacha ukwaya master,yaani sio yule wa siku hizo
Mimi Elimu yangu ni ya kuungaunga, simfikii mtuhumiwa wangu kwa uzuri na senti sasa hapo itakuwaje
Nataka nijaribu mganga wa kienyeji kunirekebishia upepo na kufix ndoa ya haraka manake ....................
Wapi ntapata mganga na hawa waganga ni kweli wanaweza tuelezane ukweli.Sikutakaga kabisa kwenda kwa mnganga ila hapa sina mchezo
Kuna mdada tulikutana naye kanisani yapata miezi mitatu
Huyo mdada ni kabila mmoja na BFwangu ,amesomea America (masai girls wengi tu wemepelekwaga huko) now days amekuwa akimtembea sana my BF, they spend most of the time to talk Kimasai,Nataman huyo mdada apate kazi nje ya ARUSHA hata kesho
Napoudhika: My BF ameanza kuwa na majibu mafupi kwa maswali marefu, kaacha ukwaya master,yaani sio yule wa siku hizo
Mimi Elimu yangu ni ya kuungaunga, simfikii mtuhumiwa wangu kwa uzuri na senti sasa hapo itakuwaje
Nataka nijaribu mganga wa kienyeji kunirekebishia upepo na kufix ndoa ya haraka manake ....................
Wapi ntapata mganga na hawa waganga ni kweli wanaweza tuelezane ukweli.Sikutakaga kabisa kwenda kwa mnganga ila hapa sina mchezo