Wadada mpooo?

Wadada mpooo?

Denjo

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2014
Posts
359
Reaction score
118
Nimewamiss wadada jaman kitambo sijawaona na japo tukutane viti virefu tubadilishane maneno ya hapa na pale mung nisaidie nawasilisha hoja.
Source; hili baridi la mvua nouma
 
Pole yako Kama upo Dar nenda ambians au kona bar, Kama ni arusha nenda shivas au mrina annex, Kama upo moro nenda kahumba au moro night pub au itigi, kama ni Dodoma nenda chako ni chako. Maeneo hayo yanakuhusu wewe mwenye shida hio
 
Nimewamiss wadada jaman kitambo sijawaona na japo tukutane viti virefu tubadilishane maneno ya hapa na pale mung nisaidie nawasilisha hoja.
Source; hili baridi la mvua nouma

Nipo G & D......nikitoka hapa naelekea Elements.........wapi rahisi kwako........?....
 
Pole yako Kama upo Dar nenda ambians au kona bar, Kama ni arusha nenda shivas au mrina annex, Kama upo moro nenda kahumba au moro night pub au itigi, kama ni Dodoma nenda chako ni chako. Maeneo hayo yanakuhusu wewe mwenye shida hio

Leo wapandishe bei za huduma
 
Pole yako Kama upo Dar nenda ambians au kona bar, Kama ni arusha nenda shivas au mrina annex, Kama upo moro nenda kahumba au moro night pub au itigi, kama ni Dodoma nenda chako ni chako. Maeneo hayo yanakuhusu wewe mwenye shida hio
Mmmh we ndugu yangu ni wakala ,wikipediaaa au nn Mmmmmmh ntakutafuta unipe michoro npo dar
 
Back
Top Bottom