Wadada mnisamehe kidogo!

Utakuta mwanamke anafatwa na vijana wengi tuu anawakataa kisa hawana kipato, wewe mwanamke unayetaka wanaume waliofanikiwa jiandae kutendwa tuu hamna la zaidi. Unataka wanaume wenye magar wakati kwenu hamna hata baskel
 
Mijiwanawake mingine hajielewi kabisa utakuta kutwa nzima anawaza kupiga mizinga tuu, mwanamke ambaye hawezi kutafuta hata elfu mbili ya kwake tupa kuleeeee
 
Asilimia kubwa ya wakaka mafanikio makubwa ni wadada waliwasaidia nyie hamna shukurani.
Wote ni binadamu bhana acha tu.
Sasa hivi ndoa nyingi ni mamario tu wamejaa basi.
So muache kulalamika.
Yaani wanasahu wao wanavyo waumiza wadada, mtu mpo maisha ya chini unavumilia siku katoka anamtupa aliyemvumilia
 
nililo likataa maishani mwangu ni leo kuwa na huyu kesho nipo na mwingine hiyo inakupunguzia heshima halafu kitu kingine hakuna mtu humu duniani asiyependa kupata heshima ya kuwa baba au mama katika familia.
Mwenzio kavumilia mafumanizi mara 3 halafu ni mchumba uvumilivu kiwango cha lami
 
Tatizo wenye navyo wachache au washaoa waliotafuta nao. Wachovu ndio tumejaa mnatukimbia.
Hahaha kwahiyo mmebaki wapweke
ndoa karata 3 ukikosea tu umeliwa, na sio wote wameoana
 
Asilimia kubwa ya wakaka mafanikio makubwa ni wadada waliwasaidia nyie hamna shukurani.
Wote ni binadamu bhana acha tu.
Sasa hivi ndoa nyingi ni mamario tu wamejaa basi.
So muache kulalamika.
Ule msemo wa 'nyuma ya mwanaume aliefanikiwa kuna mwanamke' mnakosea kutafsiri.
Mwanamke huyo ni mama yake sio mpenzi.
 
Thanks broo for your oppinion
 
No kwa mganga me sijaenda but huwa unaamini baraka za mke au mchumba katika mahusiano. Tafuta wazee wenye busara zao wakuelezee hizo baraka. Kuna msichana unaweza ingia naye ktk uchumba ukawa kila siku unapata misala ya kuhatarisha maisha yako na mwingine ukawa unapata baraka tele wakati mwanzo kabla ulikuwa unaishi maisha ya kawaida. But kwa mawazo yako mengine nimejifunza kitu kutoka kwako Thanks
 
1. Ukimpata handsome kichwani ni empty
2. Ukimpata kwenye mapenzi ya dhat walet ina 0.6%
3. Ukimpata msomi busy mapenzi hakuna anawaza in come
Namnukuu MC Pilipili baadae nitakuja andika zipo kama 10
 
1. Ukimpata handsome kichwani ni empty
2. Ukimpata kwenye mapenzi ya dhat walet ina 0.6%
3. Ukimpata msomi busy mapenzi hakuna anawaza in come
Namnukuu MC Pilipili baadae nitakuja andika zipo kama 10
Hujakosea no.2 siku akizipata tu anatafuta mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…