Wadada mnatia aibu, badilikeni

Wadada mnatia aibu, badilikeni

Hutaki kuombwa we nenda kadate huko western but here in Africa baby pesa mbele
Mnalalamika pesa yenyewe kusuka tu labda laki au elfu hamsini hivi kama hiyo ikikushinda ukioa mkeo atakuwa na mabutu kichwani mwanzo kumuona mzee
Ukitaka kujua mnajiendekeza, mbona mkipenda hamuwi na mizinga. Mnaridhika.
Wengine mnakuwa hamtaki hata pesa ya huyo mwanaume mumpendea, hamuombi hata kidogo
 
Hebu tusome
IMG_20180817_001300.jpg
 
Haya mambo mimi nilishasema, ukiniomba nikiwa nacho nitakupa, nisipokuwa nacho nitakwambia sina. Utachagua wewe, ukae ama uondoke.
 
yaani mzinga, mara naenda spitali, mara nna njaa. mpaka wanachosha na kadri unavomuongeza ndo anaomba nyingii
 
Hizi mada zinaongezeka kadri maisha yanavyozidi kuwa magumu nchini Tz.
Tatizo jiwe kuu!!! me hawana hela za kutupa,nasisi ke hatuna pesa ila tunataka zao watupe,basi mgongano mtafaruku kila siku hauishi.
Nakukumbuka zamani ule msemo laki si pesa million deni
 
Tatizo jiwe kuu!!! me hawana hela za kutupa,nasisi ke hatuna pesa ila tunataka zao watupe,basi mgongano mtafaruku kila siku hauishi.
Nakukumbuka zamani ule msemo laki si pesa million deni
Hatari kabisa
 
Ukitaka kujua mnajiendekeza, mbona mkipenda hamuwi na mizinga. Mnaridhika.
Wengine mnakuwa hamtaki hata pesa ya huyo mwanaume mumpendea, hamuombi hata kidogo

Mie naomba hata nikipenda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom