Wadada mnaokunywa balimi mnajiabisha

Wadada mnaokunywa balimi mnajiabisha

Markomx

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2016
Posts
712
Reaction score
768
Japo life ngumu lakini hii imekua too much

Nimezunguka viwanja vingi hii imenishtua sana.Yaani sikuizi wadada tena warembo kabisa wanafakamia balimi balaa.

Kiukweli mdada mrembo unatolewa out yaani unaishia kupigishwa balimi huku ni kujishusha thamani sana.

Ebu kunyweni pombe zenye hadhi na za heshima bana.Unakuta mdada mrembo walaini kabida anakata balimi,safari,konyagi bapa balaa

Nanyinyi vidume kama unamtoa out mdada mrembo halafu waleti yako haisomi bola upotezee tu

Nilishangaa sana nilipoana njema zipo na wadada warembo afu meza imetapakaa balimi yaani jumla ya balimi zote hata elfu kumi hazifiki,afu njema zinakenua tu nakufurahi tu kweli?

Kwakweli sijaipenda,

Usije mjini
 
Japo life ngumu lakini hii imekua too much...

Nilishangaa sana nilipoana njemba zipo na wadada warembo afu meza imetapakaa balimi yaani jumla ya balimi zote hata elfu kumi hazifiki,afu njemba zinakenua tu nakufurahi tu kweli?

Kwakweli sijaipenda,
😀😀😀
 
kwani balimi inauzwa shiling ngapi?

ulitaka wanywe vinywaji vya aina gan
 
Haaahaaa, hebu pendekeza unataka wanywe nini.?
 
Sasa ulitaka wanywe nn bia zote na pombe zote matokeo yake ni kulewa unywe gongo,unywe balimi,unywe windoku,unywe safari unywe savana utalewa tu
 
Mtoa post acha kuchunguza maisha ya watu....ukienda viwanja fata lililokupeleka hapo!! Nani kanywa nn na wapi havikuhusu!! Starehe popote na chochote kimpacho mtu furaha!!

Punguza ubahili mkuu,wanunulie hata wine mzee
 
Mtoa post acha kuchunguza maisha ya watu....ukienda viwanja fata lililokupeleka hapo!! Nani kanywa nn na wapi havikuhusu!! Starehe popote na chochote kimpacho mtu furaha!!

Punguza ubahili mkuu,wanunulie hata wine mzee
 
Japo life ngumu lakini hii imekua too much

Nimezunguka viwanja vingi hii imenishtua sana.Yaani sikuizi wadada tena warembo kabisa wanafakamia balimi balaa.

Kiukweli mdada mrembo unatolewa out yaani unaishia kupigishwa balimi huku ni kujishusha thamani sana.

Ebu kunyweni pombe zenye hadhi na za heshima bana.Unakuta mdada mrembo walaini kabida anakata balimi,safari,konyagi bapa balaa

Nanyinyi vidume kama unamtoa out mdada mrembo halafu waleti yako haisomi bola upotezee tu

Nilishangaa sana nilipoana njema zipo na wadada warembo afu meza imetapakaa balimi yaani jumla ya balimi zote hata elfu kumi hazifiki,afu njema zinakenua tu nakufurahi tu kweli?

Kwakweli sijaipenda,

Usije mjini
Wewe huo ni mtego anywe pombe laini anikimbie kitu balimi mwenyewe anakwambia basi kachukue chumba.
 
Balimi,eagle,konyagi hizi ni pombe za kiume mkuu,ni bia kali sana afu kwa buku buku au buku jero,mtoto wa kike anathamani yake bana
Hiyo buku sio lengo wewe lengo ni yeye akanipe mambo
 
Japo life ngumu lakini hii imekua too much

Nimezunguka viwanja vingi hii imenishtua sana.Yaani sikuizi wadada tena warembo kabisa wanafakamia balimi balaa.

Kiukweli mdada mrembo unatolewa out yaani unaishia kupigishwa balimi huku ni kujishusha thamani sana.

Ebu kunyweni pombe zenye hadhi na za heshima bana.Unakuta mdada mrembo walaini kabida anakata balimi,safari,konyagi bapa balaa

Nanyinyi vidume kama unamtoa out mdada mrembo halafu waleti yako haisomi bola upotezee tu

Nilishangaa sana nilipoana njema zipo na wadada warembo afu meza imetapakaa balimi yaani jumla ya balimi zote hata elfu kumi hazifiki,afu njema zinakenua tu nakufurahi tu kweli?

Kwakweli sijaipenda,

Usije mjini
IMG-20160112-WA0010.jpg
balimi.jpg


mpaka dakika hii nina hangover
 
Back
Top Bottom