Wadada mna nini na magari?

Kati ya waliozungumza wewe UMENENA kaka!!!Ushauri wako ni muhimu
 
Sasa utabebaje mwanaume asiye na gari, maana tunajua ukiwa na gari ina maana mambo yako poa.
 
Nimeuelewa huu ujumbe kuliko unavyofikiria wewe
 
point mkuu
 
Hongera kwa kuwa na gari, sie wengine vikongwe swali halituhusu.
 
Sawa mkuu, ila kama umesoma post yangu vizuri utanielewa kua sikununua gari kwa sababu ya kupata wanawake bali tangu utotoni nilitamani kumiliki gari na ndicho kilichotokea kwangu,

Ila nikiri gari ni hatari sana kwa maendeleo ya kimaisha kiujumla, mwanzo nilihisi napendwa mimi lakini nikaja kushtuka kumbe lapendwa gari, maana kila mwanamke unaevutiwa nae hakupi shida.
Sa hivi "ngashtuka" siwaendekezi tena,
 
Mwanaume mwenye vigezo?? Si pamoja na hali yake kiuchumi sasa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…