mchorazombie
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 282
- 114
naomba nkatapike kwanza.....ntarudi
ukizingatia usafi wa hayo makwapa ni zero yaani kuoga yenyewe mbinde hadi uwekewe chipsi nafuni#hayo manywele a makwapani yamechachamaa kama sill wire#halafu bado mnajipulizia mapafyum na mabodyspray na hili joto la dar#hiyo harufu inayotoka hapo ni zaidi ya ushuzi na mzoga#
aaahhhhhhh! Ptuuuuuuuu! Wanawake mbadilike bhana#
Wambieni na wanaume wachafu pia wabadilike,,nao wananuka kama nini.
Ni utoto tu - in fact ni wakati wao kufanya wanayoyafanya vinginevyo watayafanya muda uisofaa - wakikua watayaacha!
Wambieni na wanaume wachafu pia wabadilike,,nao wananuka kama nini.
ila nyie wanawake komesha#mwanamke mkwapa unamaramani ya michirizi ya jasho la tangu wiki iliyoita!
ha ha ha ha ha ha#ulishawahi sikia harufu la kwapa lililopakwa mkorogo weye?#linanuka zaidi ya vyoo vya stendi#tena linamarangi rangi ya ajabu kama kutu vile#
kaaah! Jamani mwanamke gani anakuwa na jasho la wiki? Inamaana hatuogi? Acha kuongeza chumvi basiii.
Hahahahahahaaa...... Sasa mkorogo kwapani si kujitafutia matatizo tu! Mkorogo na joto wapi na wapi lazima kwapa licheue!!!!!!!
hujawaonaeee??
mmmmh!! hii nayo imo??? kaaazi kweli kweli
hiyo himo mbona! We mtu anayetumia mkorogo akipigwa na jua tu ananuka sembuse joto la kwapani
Wambieni na wanaume wachafu pia wabadilike,,nao wananuka kama nini.
Unabisha nini na wewe usitake kuzuga kwani hapa umeona kibao chochote kimeandikwa twaongelea wanaume...
Tena huwa twawasitiri tu...unakuta mwanamke ana kwapa jeusiiiii kama kaangio la chipsi dume...halafu huku pembeni pembeni sasa sijui ule ni ukurutu kama masizi ya kibatari...
Yaani ningekuwa na uwezo ningeiomba hata serikali iwajengee vituo maalumu vya kuyasugua na kuyasafisha hayo makwapa yenu...msije pata kansa bureee
pole wangu! Mungu akutie nguvu urejee mzigoni maana tunadhalilishwa watu wazima!!