Tu assume kwamba kupiga simu moja iite mpaka ikatike ni dakika moja na nusu(1.5min).
Kama huyo mpigaji simu ni mmoja na alipiga kwa kufululiza bila kikomo, calls 973 itakuwa dakika 1.5 * 973 = 1460mins
Dakika 1460 ni sawasawa na masaa, 1460/60 = 24hours ambayo ni sawa na siku moja nzima
Kwa assumptions hizo(to the maximum) huyo mtu atakuwa ametumia kwa kikomo cha siku nzima asubuhi mpaka asubuhi kupiga simu, hajapumzika hata kidogo yeye ni bandika bandua.
Kwa sababu hiyo basi line ya simu ikiwa kwenye kupigwa/kupigiwa ina maana hauwezi kureceive au kumake call, hiyo siku nzima haukupokea simu wala kupiga wala hata kusoma message......
Kwa sababu hiyo basi, embu nitumie details za battery ya hiyo simu nipige hesabu uliiweka kwenye charge saa ngapi. LOL