Dont go away
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 501
- 208
Kuna uzi nilipost hapa kutafuta mke wa kuoa, yule dada alikuwa na vigezo vyote nivitakavyo but hakuwa serious kwa sababu yeye aliniambia atakuwa tayari kuolewa Mwakani, wakati mimi nahitaji kuoa Mwaka huu. Kwa hiyo kwa wadada naomba muwe serious na hisia na utayari wa watu wengine.
Kupitia uzi huu naomba nitoe tena ombi kwa mdada aliye tayari ani PM, Awe na kazi halali, mrefu wastani na umbo la kawaida, mengine tutajulishana zaidi.
Kupitia uzi huu naomba nitoe tena ombi kwa mdada aliye tayari ani PM, Awe na kazi halali, mrefu wastani na umbo la kawaida, mengine tutajulishana zaidi.