Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,030
Sawa
Mmh kuna watu wanajiweza, what for sasa?
Hahaha mabadilikooo ya jf, kuna mtu alilalamika pia avatar yake anaiona kwa watu wote pia. Sikumbuki hata alijibiwaje, ntakutag nikiona ule uziShangaa na wewe..
Af mbona naona maruweruwe humu..ki Avi changu nakiona kwa watu wote.
Hahaha mabadilikooo ya jf, kuna mtu alilalamika pia avatar yake anaiona kwa watu wote pia. Sikumbuki hata alijibiwaje, ntakutag nikiona ule uzi
Sielewi imekuwaje, but jf wamefanya mabadiliko, hope kuna some changes unazionaHahaaa..but why?
Hizi changes zimenistua saana...hususan kule pm.Sielewi imekuwaje, but jf wamefanya mabadiliko, hope kuna some changes unaziona
Mmh kuna watu wanajiweza, what for sasa?
Si ili muMuone anapendwa.Teh,bado kuna ile tabia ya Ku screenshot conversation zao na watu wao na kutupostia ili tuone wanavyopendwa.
Ahhaha me nilijkuta natafuta kitufe cha like PM, sio kwa ule muonekanoHizi changes zimenistua saana...hususan kule pm.
Khaa nkahis kuna mtu ameingia pm kwangu na kufukunyua...
Kumbe ni mabadiliko
Mmh utadhani wanaopendana kweli wanapigaga makelele sasa + kujionyesha. Wao ni mahaba tu na Kila mtu unajua kabisa pale daah, raha tupuSi ili muMuone anapendwa.
Nahisi wameambukizwa na wanaume wa siku hizi....unakuta kijana kapata faraga jana na dada mrembo ...ana mfotoa naikibidi anategesha video kesho yake ana onyesha kwa washirika wake na hata kushea namba ya simu ya mdada na bazazi wengine wakapite huko..
Sasa amongst audience wahabari hizo hata wadada wanakuwepo nahata kuchangia ukosoaji na usifiaji wa hiyo habari na picha.....na aibu ilivyopotea sikuhizi....ndio hao ulosema mleta mada.....ila nahisi ni season tu kama fadhion ..
..hii generation ya millenials ikifika age ya 40. Sidhani kama yatakuwepo yote haya....
Uzuri wa haya maisha kila generation huona wazazi wao ni washamba na kwahiyo kamwe ma teenager wamiaka 20 ijayo hawatafanya upuuzi wowote tunaushuhudia hivi sasa God forbid
Mkuu hii tabia haina ujana wa siku hizi wala zamani....Mi nakaa na watu wazima sana na wadogo kuliko mimi....Naweza kukwambia hao watu wazima ndio wanaongoza kuonyesha picha za faragha na mabinti wadogo kama watoto wao na hao ndio vijana wa zamani,hawafai kabisa.
Trust me wazee wa siku hizi nao whatsapp imewaharibu wanarusha picha za ajabu huwezi amini,tena wana ma group yao kabisa ukiona wanachorusha huwezi amini kama ni watu over 50yrs huko.
Hii ni tabia binafsi tu na ulimbukeni ambao hata wazee watu wazima wanao.
Teh teh..Douta hujui jinsi ya kuanza?..Ntakufundisha usijaliAfu wanawake tunajuaga kurushana roho jamani. Kuna mtu anaweza akakusimulia mambo yake Eg, boyfriend wake anavyomtreat kumbe muongo mkubwa. Ndo wale wanaojinunulia hadi zawadi afu anadanganya wenzie kanunuliwa na baby. Aonekane tu yeye ndo anapendwa sana, yeye ndo anaenjoy mapenzi sana mmh, akili kumkichwa. Unaanzaje kusimulia ulivyolala na mtu mmh? What for?
uwiiiiiii basi sawaKama mdada anashindwa tu kutunza sehemu zake za siri usitegemee miujiza ya kutunza siri za chumbani
ha ha ha ha halafu akimaliza show off anaugulia ndaniAfu wanawake tunajuaga kurushana roho jamani. Kuna mtu anaweza akakusimulia mambo yake Eg, boyfriend wake anavyomtreat kumbe muongo mkubwa. Ndo wale wanaojinunulia hadi zawadi afu anadanganya wenzie kanunuliwa na baby. Aonekane tu yeye ndo anapendwa sana, yeye ndo anaenjoy mapenzi sana mmh, akili kumkichwa. Unaanzaje kusimulia ulivyolala na mtu mmh? What for?
watu wa sampuli hiyo wapo hivi?Keep your secret to yourself and tell it to God only...utaishi maisha ya amani kwakweli....
Mmh kuna watu ni hatari jamani, na wanakujaga kuangukia pua hadi Unawaonea hurumaha ha ha ha halafu akimaliza show off anaugulia ndani