Wadada, jifunzeni kuwa wasiri

Wadada, jifunzeni kuwa wasiri

Shangaa na wewe..

Af mbona naona maruweruwe humu..ki Avi changu nakiona kwa watu wote.
Hahaha mabadilikooo ya jf, kuna mtu alilalamika pia avatar yake anaiona kwa watu wote pia. Sikumbuki hata alijibiwaje, ntakutag nikiona ule uzi
 
Hizi changes zimenistua saana...hususan kule pm.
Khaa nkahis kuna mtu ameingia pm kwangu na kufukunyua...

Kumbe ni mabadiliko
Ahhaha me nilijkuta natafuta kitufe cha like PM, sio kwa ule muonekano
 
Nahisi wameambukizwa na wanaume wa siku hizi....unakuta kijana kapata faraga jana na dada mrembo ...ana mfotoa naikibidi anategesha video kesho yake ana onyesha kwa washirika wake na hata kushea namba ya simu ya mdada na bazazi wengine wakapite huko..
Sasa amongst audience wahabari hizo hata wadada wanakuwepo nahata kuchangia ukosoaji na usifiaji wa hiyo habari na picha.....na aibu ilivyopotea sikuhizi....ndio hao ulosema mleta mada.....ila nahisi ni season tu kama fadhion ..
..hii generation ya millenials ikifika age ya 40. Sidhani kama yatakuwepo yote haya....
Uzuri wa haya maisha kila generation huona wazazi wao ni washamba na kwahiyo kamwe ma teenager wamiaka 20 ijayo hawatafanya upuuzi wowote tunaushuhudia hivi sasa God forbid

Mkuu hii tabia haina ujana wa siku hizi wala zamani....Mi nakaa na watu wazima sana na wadogo kuliko mimi....Naweza kukwambia hao watu wazima ndio wanaongoza kuonyesha picha za faragha na mabinti wadogo kama watoto wao na hao ndio vijana wa zamani,hawafai kabisa.

Trust me wazee wa siku hizi nao whatsapp imewaharibu wanarusha picha za ajabu huwezi amini,tena wana ma group yao kabisa ukiona wanachorusha huwezi amini kama ni watu over 50yrs huko.

Hii ni tabia binafsi tu na ulimbukeni ambao hata wazee watu wazima wanao.
 
Mkuu hii tabia haina ujana wa siku hizi wala zamani....Mi nakaa na watu wazima sana na wadogo kuliko mimi....Naweza kukwambia hao watu wazima ndio wanaongoza kuonyesha picha za faragha na mabinti wadogo kama watoto wao na hao ndio vijana wa zamani,hawafai kabisa.

Trust me wazee wa siku hizi nao whatsapp imewaharibu wanarusha picha za ajabu huwezi amini,tena wana ma group yao kabisa ukiona wanachorusha huwezi amini kama ni watu over 50yrs huko.

Hii ni tabia binafsi tu na ulimbukeni ambao hata wazee watu wazima wanao.

Haya mambo yanahusu kupevuka zaidi akili....

umri unababk kuwa namba tuu
 
Afu wanawake tunajuaga kurushana roho jamani. Kuna mtu anaweza akakusimulia mambo yake Eg, boyfriend wake anavyomtreat kumbe muongo mkubwa. Ndo wale wanaojinunulia hadi zawadi afu anadanganya wenzie kanunuliwa na baby. Aonekane tu yeye ndo anapendwa sana, yeye ndo anaenjoy mapenzi sana mmh, akili kumkichwa. Unaanzaje kusimulia ulivyolala na mtu mmh? What for?
Teh teh..Douta hujui jinsi ya kuanza?..Ntakufundisha usijali
 
Afu wanawake tunajuaga kurushana roho jamani. Kuna mtu anaweza akakusimulia mambo yake Eg, boyfriend wake anavyomtreat kumbe muongo mkubwa. Ndo wale wanaojinunulia hadi zawadi afu anadanganya wenzie kanunuliwa na baby. Aonekane tu yeye ndo anapendwa sana, yeye ndo anaenjoy mapenzi sana mmh, akili kumkichwa. Unaanzaje kusimulia ulivyolala na mtu mmh? What for?
ha ha ha ha halafu akimaliza show off anaugulia ndani
 
Ningeshauri lianzishwe jukwaa la Wanawake humu JF ili mambo kama haya yafanyike humoo


Nanyi wadada kuweni wasili bhana mtu mmefanya mambo yenu huko then unakuja tangaza kwa shogayo , unataka uibiwe au

be smart bhana
 
Back
Top Bottom