driller
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 1,116
- 240
Hivi kwa mfano uko kwenye mahusiano na mtu na si mume wako unaanzaje kumuomba hela?
Hili somo sikulielewa kwa mnaojua nifumbueni jamani.
aaah asee tena huku ndio hua wanawachuna kinyama..! kwani unadhani huku mwanamke anaomba hela..? au mwanaume hua analeta zote ndio huyu mwanamke anaamua kiasi gani kipelekwe kwa mke wa ukweli..!? kongosho huku mamama hayaombi ndugu yangu...! miwanaume inatoa mpaka mimama inawaambia heee...! hebu kumbuka familia yako kidogo..! wee acha bwana