Wadada haya si ndo mnayoyataka?

Wadada haya si ndo mnayoyataka?

Majighu2015

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
2,941
Reaction score
3,963
Mimi naamini ukiwa na mpenzi wako wa kike ukimtimizia haya basi roho yake itatulia..
1. Mpatie hela ya kutatua mahitaji yake. Usisubiri akuombe mana wengine kuomba hawawezi.
2. Mfikishe kileleni muwapo 6×6. Mwanamke ukimkamata kunako 6×6 basi huyo kukuacha inakua ni ngumu sana.
3. Mpe care za kutosha. Mwanamke anahitaji caring nzuri na kumuona yeye ndo kila kitu.
4.Msifie mara kwa mara. Wanawake wanapenda kusifiwa, wanakua wanajiamini sana wakipata sifa kutoka kwa mpenzi wake.

Dada zangu kuna kingine nimesahau hapo? Naamini hivyo ndo vitu vikuu.

Sasa kwa mwanamke ambae utampatia hivyo vitu hapo na bado akazingua huyo atakua hajatulia a.k.a pasua kichwa.
 
Mimi naamini ukiwa na mpenzi wako wa kike ukimtimizia haya basi roho yake itatulia..
1. Mpatie hela ya kutatua mahitaji yake. Usisubiri akuombe mana wengine kuomba hawawezi.
2. Mfikishe kileleni muwapo 6×6. Mwanamke ukimkamata kunako 6×6 basi huyo kukuacha inakua ni ngumu sana.
3. Mpe care za kutosha. Mwanamke anahitaji caring nzuri na kumuona yeye ndo kila kitu.
4.Msifie mara kwa mara. Wanawake wanapenda kusifiwa,wanakua wanajiamini sana wakipata sifa kutoka kwa mpenzi wake.

Dada zangu kuna kingine nimesahau hapo?? Naamini hivyo ndo vitu vikuu.

Sasa kwa mwanamke ambae utampatia hivyo vitu hapo na bado akazingua huyo atakua hajatulia a.k.a pasua kichwa.
Kunywa Hennesy nakuja kulipa.
 
Hayo yoooote ni kuiga iga tamaduni za watu.

Unatakiwa kumfanya mwanamke ajue kwa vitendo kuwa wewe ndio shida zake.

Mjegejo ni automated asylum.
 
Pia ukimpa uhuru saana anadanganywa na marafiki zake wa kike! Wanampiga short
 
hizo tatu zinatosha hyo ya nne siitaki ongeza na anipigie pigie simu mara kwa mara umekunywa chai baby? umekula mamy? umekunya mpenzi? umeswaki mamy ? nk sio unajikausha kama haupo
Hizo ndo care Miss Natafuta point namba 3, inaelekea unapenda sana ma care eeh
 
Hapa ni tstizo
ff50e4c0e2b95bf93aca779880e9035f.jpg

Mwanamke umuhimu wake kwangu ni kunipa mapenzi na mtt nikitaka,hayo mengine ajiongze mwenyew kwn mm baba yKe.
 
Mwanaume kuchakarika sa we jifanye unajua kucare utageuka mfariji wa vidume wenzako kwa dem wako
 
Mimi naamini ukiwa na mpenzi wako wa kike ukimtimizia haya basi roho yake itatulia..
1. Mpatie hela ya kutatua mahitaji yake. Usisubiri akuombe mana wengine kuomba hawawezi.
2. Mfikishe kileleni muwapo 6×6. Mwanamke ukimkamata kunako 6×6 basi huyo kukuacha inakua ni ngumu sana.
3. Mpe care za kutosha. Mwanamke anahitaji caring nzuri na kumuona yeye ndo kila kitu.
4.Msifie mara kwa mara. Wanawake wanapenda kusifiwa,wanakua wanajiamini sana wakipata sifa kutoka kwa mpenzi wake.

Dada zangu kuna kingine nimesahau hapo?? Naamini hivyo ndo vitu vikuu.

Sasa kwa mwanamke ambae utampatia hivyo vitu hapo na bado akazingua huyo atakua hajatulia a.k.a pasua kichwa.
Usiishi kwa kuiga na usimfanye mkeo ama mpenzio sijui mchumba wako ajione kuwa ni movie star. Ishi maisha halisi. Ya kwenye movies yaache huko huko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom