Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,641
- 47,664
Kwenye mahusiano,ikifikia stage ya kuwa motivational speaker, jitoe 😅😅Ukisikia paaa....!
Kwenye mahusiano,ikifikia stage ya kuwa motivational speaker, jitoe 😅😅Ukisikia paaa....!
Tatzo lako ulijipa majukumu yasiyo yako. Yy anakaa kwao,, hyo 100k sio jukumu lako kumpa hyo umeingilia kazi ya wazaz wake na yy ndo mana alikua anakunyanyasa sababu alikuona boya.Some girls are stupids with fake standards .... ona hiyo screenshot niliyotuma hapo juu....
Imagine huyo anaejibu hivo hana kazi, katafuta kakosa na anakaa kwao
bad enough nilikuwa namtafutia kazi April aanze offcn kwetu huyu si ndo angeniua abebe nafasi yangu.
Tunaambiwa tutafute hela ili iweje sasaMwanaume ukijaliwa kuwa na hela usidhania utamtoboa kila mwanamke!!!!.
Utawatoboa haohao watoto wa shangazi zako wenye kupenda pesa kama wewe
Aisee mwamba uyu demu unajitahdi kumpaa promo kinomaHuyu hata kama azeeke uzuri ni constant
Ili mkikataliwa msijihisi ni umaskini wenuTunaambiwa tutafute hela ili iweje sasa
😊Hapo sawa hivyo mkituolewa mtupeIli mkikataliwa msijihisi ni umaskini wenu
Haha Dejane alisema wanaume mnaolalamika daily kuhusu mahusiano mademu zenu hawajui kuandika 😂😂😂😂Pigo za hivi hahahahaha kazi unayo mwanangu kazi unayo....
pisi hapo inaona inababaikiwa sana.... hapo huyo dogo alikuwa mainchick na Kwa mwez nampa 100k ya Vocha yeye yupo tu home....
sasa bhana hapo alijibu hivo sababu tu eti sikumpa 100k but nilimpa 50k akatumia ovyo....ili last month nimpe simu ya 350 na niliorder tayari...
Weee nikasema hanijui huyu ... Nimevuta best ake na mambo yapo poa vibaya sana
Depal hii ndo ile main niliyosimulia sikuile.View attachment 2537863
HahahaPigo za hivi hahahahaha kazi unayo mwanangu kazi unayo....
pisi hapo inaona inababaikiwa sana.... hapo huyo dogo alikuwa mainchick na Kwa mwez nampa 100k ya Vocha yeye yupo tu home....
sasa bhana hapo alijibu hivo sababu tu eti sikumpa 100k but nilimpa 50k akatumia ovyo....ili last month nimpe simu ya 350 na niliorder tayari...
Weee nikasema hanijui huyu ... Nimevuta best ake na mambo yapo poa vibaya sana
Depal hii ndo ile main niliyosimulia sikuile.View attachment 2537863
Ametushtukiza 😂😂😂Mbona ghafla sana mwamba? Kulikoni?
Mwamba ameanza kuwa philosopher mapema sana! Sijui kama atatoboa 😅Kwenye mahusiano,ikifikia stage ya kuwa motivational speaker, jitoe 😅😅
Yeah, alaf kaanza kuimba na tone ya juu sana. Anashtua hadhira 😅😅Ametushtukiza 😂😂😂
Hapo shughuli hakuna tena. Ajiongeze tu 😅😅Mwamba ameanza kuwa philosopher mapema sana! Sijui kama atatoboa 😅
Ha ha haKwenye mahusiano,ikifikia stage ya kuwa motivational speaker, jitoe![]()

Huo muda badala wautumie kuwafundisha kuandika vizuri 😂Kazi kutuponda sie wakati mademu zao kuandika tu hawajui haloooo
Huo muda badala wautumie kuwafundisha kuandika vizuri 😂
😂😂 panyeshe tuone panapovuja..😂😂😂😂😂 halaf wanajisifiaga wana mademu classic
DuuuuuuhPigo za hivi hahahahaha kazi unayo mwanangu kazi unayo....
pisi hapo inaona inababaikiwa sana.... hapo huyo dogo alikuwa mainchick na Kwa mwez nampa 100k ya Vocha yeye yupo tu home....
sasa bhana hapo alijibu hivo sababu tu eti sikumpa 100k but nilimpa 50k akatumia ovyo....ili last month nimpe simu ya 350 na niliorder tayari...
Weee nikasema hanijui huyu ... Nimevuta best ake na mambo yapo poa vibaya sana
Depal hii ndo ile main niliyosimulia sikuile.View attachment 2537863