Wadada acheni kuringa uzuri wako una mwisho

Wadada acheni kuringa uzuri wako una mwisho

rajiih

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2019
Posts
500
Reaction score
757
๐—จ๐—๐—จ๐— ๐—•๐—˜ ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—•๐—œ๐—ก๐—ง๐—œ ๐—ช๐—ข๐—ง๐—˜

Ukijaliwa kuwa ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—” mzuri na mrembo, usidhani utatetemesha kila ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜. Kuna wanaume hawasumbuliwi na ๐—จ๐—ฅ๐—˜๐— ๐—•๐—ข wako kama unavyodhani, uzuri wako hausaidii kitu na utashangaa ๐—ป๐—ผ ๐—ผ๐—ป๐—ฒ ๐—ถ๐˜€ ๐—ฝ๐—ฎ๐˜†๐—ถ๐—ป๐—ด ๐—ฎ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ป๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป.Watu utakaowapata ni walewale wenzio ๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ข๐—๐—œ๐—ง๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—”, walamba ๐—Ÿ๐—œ๐—ฃ๐—ฆ hawana ๐—™๐—จ๐—ง๐—จ๐—ฅ๐—˜ utabaki ๐—จ๐—ป๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐˜„๐—ฎ bure kila siku kwa kudhani urembo wako ni kivutio cha ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ ๐—ช๐—˜๐—ก๐—ฌ๐—˜ ๐— ๐—”๐—Ÿ๐—˜๐—ก๐—š๐—ข.

Ukipata ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ anakupenda unaanza drama zako na kupiga watu ๐——๐—”๐—ก๐—”๐——๐—”๐—ก๐—”, madai yako hujali na unadhani hata akiondoka utapata mwingine kisa wewe ni ๐— ๐—ญ๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—นa๐—ฎ๐—ต! hasha Mwanaume akijitoa mhanga kukupenda kwa uzuri wako ๐— ๐—›๐—˜๐—ฆ๐—›๐—œ๐— ๐—จ, maana ukitumia urembo wako kusumbua watu hakuna ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ atakuhitaji.

Sasa wewe endelea kujikuta ๐—ฆ๐—ฃ๐—˜๐—–๐—œ๐—”๐—Ÿ kwa uzuri wa sura na umbo na kuwa fanya ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ kama ๐—”๐—ง๐—  yako utajikuta umeolewa na ๐—ž๐—œ๐—ข๐—ข cha chumbani kwako, maana hicho ndo ๐—ž๐—œ๐—ก๐—”๐—ž๐—จ๐——๐—”๐—ก๐—š๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” sana kwamba we ni ๐— ๐—ฅ๐—˜๐— ๐—•๐—ข.

๐—ช๐—”๐—ง๐—–๐—› ๐—ข๐—จ๐—ง ๐— ๐—ฌ ๐——๐—˜๐—”๐—ฅ drama zina mwisho, leo unacheza na mioyo ya watu unajiona we kifaa usidhani wanaume hawaumii, wanaumia sema hawasemi tu, machozi yao kama ya samaki. ๐—๐—œ๐—ง๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—˜ ๐Œ๐›๐š๐๐ข๐ฅ๐ข๐ค๐ž ๐Œ๐ญ๐š๐ค๐จ๐ฌ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š๐จ๐š ๐Œ๐ค๐ข๐ฌ๐ก๐š
 
Achana nae huyo tafuta mwingine, atakuumiza kichwa.

Ukijiona unaanza kuwa motivational speaker wa masuala ya mapenzi ujue uliekuwa nao sio mtu sahihi.

Ukute kiguu kiko kwenye headboard ya kitanda saa hizi kuna njemba inajilia, wewe unatoa nondo huku๐Ÿ˜‚
 
Waache wapige danadana tuu. Maana wakikubali na kutupa uchi mapema tunakuja kiripoti jamiii forum kwenye uzi wa rikiboy โ€œ nimekula kimasihara โ€œ

Hujatoka ma UTI, we umekula malaya.

Kikubwa tuishi
 
Huyu hata kama azeeke uzuri ni constant
 

Attachments

  • JamiiForums-901345301.jpeg
    JamiiForums-901345301.jpeg
    106 KB · Views: 21
Ikifika miaka thelasini 30 plus naongeza extra time ya miaka 5.... EXTRA ADDED TIME.....35...๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Kama girl hajaolewa napuliza kipengaa piiiiiiii na mpira umekwisha yaani game finished wazeee. Kama ni 0-0 au vipi tuamue matuta au tumalize tu..๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Wanaume tunasema kojoeni mkalale
 
๐—จ๐—๐—จ๐— ๐—•๐—˜ ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—•๐—œ๐—ก๐—ง๐—œ ๐—ช๐—ข๐—ง๐—˜

Ukijaliwa kuwa ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—” mzuri na mrembo, usidhani utatetemesha kila ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜. Kuna wanaume hawasumbuliwi na ๐—จ๐—ฅ๐—˜๐— ๐—•๐—ข wako kama unavyodhani, uzuri wako hausaidii kitu na utashangaa ๐—ป๐—ผ ๐—ผ๐—ป๐—ฒ ๐—ถ๐˜€ ๐—ฝ๐—ฎ๐˜†๐—ถ๐—ป๐—ด ๐—ฎ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ป๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป.Watu utakaowapata ni walewale wenzio ๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ข๐—๐—œ๐—ง๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—”, walamba ๐—Ÿ๐—œ๐—ฃ๐—ฆ hawana ๐—™๐—จ๐—ง๐—จ๐—ฅ๐—˜ utabaki ๐—จ๐—ป๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐˜„๐—ฎ bure kila siku kwa kudhani urembo wako ni kivutio cha ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ ๐—ช๐—˜๐—ก๐—ฌ๐—˜ ๐— ๐—”๐—Ÿ๐—˜๐—ก๐—š๐—ข.

Ukipata ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ anakupenda unaanza drama zako na kupiga watu ๐——๐—”๐—ก๐—”๐——๐—”๐—ก๐—”, madai yako hujali na unadhani hata akiondoka utapata mwingine kisa wewe ni ๐— ๐—ญ๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—นa๐—ฎ๐—ต! hasha Mwanaume akijitoa mhanga kukupenda kwa uzuri wako ๐— ๐—›๐—˜๐—ฆ๐—›๐—œ๐— ๐—จ, maana ukitumia urembo wako kusumbua watu hakuna ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ atakuhitaji.

Sasa wewe endelea kujikuta ๐—ฆ๐—ฃ๐—˜๐—–๐—œ๐—”๐—Ÿ kwa uzuri wa sura na umbo na kuwa fanya ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ kama ๐—”๐—ง๐—  yako utajikuta umeolewa na ๐—ž๐—œ๐—ข๐—ข cha chumbani kwako, maana hicho ndo ๐—ž๐—œ๐—ก๐—”๐—ž๐—จ๐——๐—”๐—ก๐—š๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” sana kwamba we ni ๐— ๐—ฅ๐—˜๐— ๐—•๐—ข.

๐—ช๐—”๐—ง๐—–๐—› ๐—ข๐—จ๐—ง ๐— ๐—ฌ ๐——๐—˜๐—”๐—ฅ drama zina mwisho, leo unacheza na mioyo ya watu unajiona we kifaa usidhani wanaume hawaumii, wanaumia sema hawasemi tu, machozi yao kama ya samaki. ๐—๐—œ๐—ง๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—˜ ๐Œ๐›๐š๐๐ข๐ฅ๐ข๐ค๐ž ๐Œ๐ญ๐š๐ค๐จ๐ฌ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š๐จ๐š ๐Œ๐ค๐ข๐ฌ๐ก๐š
Mkuu Acha waringe sifa kuu na uzuri wa mwanamke ni maringo na kuji dai , mwanamke asipo ringa anakuwa cha wote na kila mtu atamdharau , wanawake wote wanaoringa ni daraja la juu , ukitaka uwapate mkuu wewe panda chart tu , pia mabinti wa hivyo uwe smart kichwan na hata kimwonekano kuwanasa.
 
๐—จ๐—๐—จ๐— ๐—•๐—˜ ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—•๐—œ๐—ก๐—ง๐—œ ๐—ช๐—ข๐—ง๐—˜

Ukijaliwa kuwa ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—” mzuri na mrembo, usidhani utatetemesha kila ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜. Kuna wanaume hawasumbuliwi na ๐—จ๐—ฅ๐—˜๐— ๐—•๐—ข wako kama unavyodhani, uzuri wako hausaidii kitu na utashangaa ๐—ป๐—ผ ๐—ผ๐—ป๐—ฒ ๐—ถ๐˜€ ๐—ฝ๐—ฎ๐˜†๐—ถ๐—ป๐—ด ๐—ฎ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ป๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป.Watu utakaowapata ni walewale wenzio ๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ข๐—๐—œ๐—ง๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—”, walamba ๐—Ÿ๐—œ๐—ฃ๐—ฆ hawana ๐—™๐—จ๐—ง๐—จ๐—ฅ๐—˜ utabaki ๐—จ๐—ป๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐˜„๐—ฎ bure kila siku kwa kudhani urembo wako ni kivutio cha ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ ๐—ช๐—˜๐—ก๐—ฌ๐—˜ ๐— ๐—”๐—Ÿ๐—˜๐—ก๐—š๐—ข.

Ukipata ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ anakupenda unaanza drama zako na kupiga watu ๐——๐—”๐—ก๐—”๐——๐—”๐—ก๐—”, madai yako hujali na unadhani hata akiondoka utapata mwingine kisa wewe ni ๐— ๐—ญ๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—นa๐—ฎ๐—ต! hasha Mwanaume akijitoa mhanga kukupenda kwa uzuri wako ๐— ๐—›๐—˜๐—ฆ๐—›๐—œ๐— ๐—จ, maana ukitumia urembo wako kusumbua watu hakuna ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ atakuhitaji.

Sasa wewe endelea kujikuta ๐—ฆ๐—ฃ๐—˜๐—–๐—œ๐—”๐—Ÿ kwa uzuri wa sura na umbo na kuwa fanya ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ kama ๐—”๐—ง๐—  yako utajikuta umeolewa na ๐—ž๐—œ๐—ข๐—ข cha chumbani kwako, maana hicho ndo ๐—ž๐—œ๐—ก๐—”๐—ž๐—จ๐——๐—”๐—ก๐—š๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” sana kwamba we ni ๐— ๐—ฅ๐—˜๐— ๐—•๐—ข.

๐—ช๐—”๐—ง๐—–๐—› ๐—ข๐—จ๐—ง ๐— ๐—ฌ ๐——๐—˜๐—”๐—ฅ drama zina mwisho, leo unacheza na mioyo ya watu unajiona we kifaa usidhani wanaume hawaumii, wanaumia sema hawasemi tu, machozi yao kama ya samaki. ๐—๐—œ๐—ง๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—˜ ๐Œ๐›๐š๐๐ข๐ฅ๐ข๐ค๐ž ๐Œ๐ญ๐š๐ค๐จ๐ฌ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š๐จ๐š ๐Œ๐ค๐ข๐ฌ๐ก๐š
Acha kumpigia mbuzi gita ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ nahisi umependa usikopendwa
 
Pigo za hivi hahahahaha kazi unayo mwanangu kazi unayo....

pisi hapo inaona inababaikiwa sana.... hapo huyo dogo alikuwa mainchick na Kwa mwez nampa 100k ya Vocha yeye yupo tu home....

sasa bhana hapo alijibu hivo sababu tu eti sikumpa 100k but nilimpa 50k akatumia ovyo....ili last month nimpe simu ya 350 na niliorder tayari...

Weee nikasema hanijui huyu ... Nimevuta best ake na mambo yapo poa vibaya sana

]
 

Attachments

  • IMG_20230305_121348.jpg
    IMG_20230305_121348.jpg
    63.7 KB · Views: 28
Mwanaume ukijaliwa kuwa na hela usidhania utamtoboa kila mwanamke!!!!.
Utawatoboa haohao watoto wa shangazi zako wenye kupenda pesa kama wewe
Some girls are stupids with fake standards .... ona hiyo screenshot niliyotuma hapo juu....

Imagine huyo anaejibu hivo hana kazi, katafuta kakosa na anakaa kwao

bad enough nilikuwa namtafutia kazi April aanze offcn kwetu huyu si ndo angeniua abebe nafasi yangu.
 
๐—จ๐—๐—จ๐— ๐—•๐—˜ ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—•๐—œ๐—ก๐—ง๐—œ ๐—ช๐—ข๐—ง๐—˜

Ukijaliwa kuwa ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—” mzuri na mrembo, usidhani utatetemesha kila ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜. Kuna wanaume hawasumbuliwi na ๐—จ๐—ฅ๐—˜๐— ๐—•๐—ข wako kama unavyodhani, uzuri wako hausaidii kitu na utashangaa ๐—ป๐—ผ ๐—ผ๐—ป๐—ฒ ๐—ถ๐˜€ ๐—ฝ๐—ฎ๐˜†๐—ถ๐—ป๐—ด ๐—ฎ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ป๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป.Watu utakaowapata ni walewale wenzio ๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ข๐—๐—œ๐—ง๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—”, walamba ๐—Ÿ๐—œ๐—ฃ๐—ฆ hawana ๐—™๐—จ๐—ง๐—จ๐—ฅ๐—˜ utabaki ๐—จ๐—ป๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐˜„๐—ฎ bure kila siku kwa kudhani urembo wako ni kivutio cha ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ ๐—ช๐—˜๐—ก๐—ฌ๐—˜ ๐— ๐—”๐—Ÿ๐—˜๐—ก๐—š๐—ข.

Ukipata ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ anakupenda unaanza drama zako na kupiga watu ๐——๐—”๐—ก๐—”๐——๐—”๐—ก๐—”, madai yako hujali na unadhani hata akiondoka utapata mwingine kisa wewe ni ๐— ๐—ญ๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—นa๐—ฎ๐—ต! hasha Mwanaume akijitoa mhanga kukupenda kwa uzuri wako ๐— ๐—›๐—˜๐—ฆ๐—›๐—œ๐— ๐—จ, maana ukitumia urembo wako kusumbua watu hakuna ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ atakuhitaji.

Sasa wewe endelea kujikuta ๐—ฆ๐—ฃ๐—˜๐—–๐—œ๐—”๐—Ÿ kwa uzuri wa sura na umbo na kuwa fanya ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—จ๐— ๐—˜ kama ๐—”๐—ง๐—  yako utajikuta umeolewa na ๐—ž๐—œ๐—ข๐—ข cha chumbani kwako, maana hicho ndo ๐—ž๐—œ๐—ก๐—”๐—ž๐—จ๐——๐—”๐—ก๐—š๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” sana kwamba we ni ๐— ๐—ฅ๐—˜๐— ๐—•๐—ข.

๐—ช๐—”๐—ง๐—–๐—› ๐—ข๐—จ๐—ง ๐— ๐—ฌ ๐——๐—˜๐—”๐—ฅ drama zina mwisho, leo unacheza na mioyo ya watu unajiona we kifaa usidhani wanaume hawaumii, wanaumia sema hawasemi tu, machozi yao kama ya samaki. ๐—๐—œ๐—ง๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—˜ ๐Œ๐›๐š๐๐ข๐ฅ๐ข๐ค๐ž ๐Œ๐ญ๐š๐ค๐จ๐ฌ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š๐จ๐š ๐Œ๐ค๐ข๐ฌ๐ก๐š
 
Back
Top Bottom