Yani imekuwa ni kero,unakuta demu unamtongoza mchana na anakubali.ila cha kushangaza wewe mwanaume kabla hujaomba tunda ila yeye unakuta usiku anakupiga mzinga,utasikia naomba vocha,mara sijala.sasa hadi mtu unajiuliza kwamba ,kwani hapo mwanzo kabla mi sijamtongoza ina maana hela ya kula alikuwa anatoa wapi? Na vocha pia alikuwa anatoa wapi? Wanawake jaman acheni njaa hizo