Mafwi Munda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 1,750
- 1,604
- Thread starter
- #21
Nasikia pepo haliwezi kuishi nje ya mwili. Hivyo huwaingia wachungaji?!Huwa yanaenda nyumbani kwa wachungaji
Nasikia pepo haliwezi kuishi nje ya mwili. Hivyo huwaingia wachungaji?!Huwa yanaenda nyumbani kwa wachungaji
Hahaha akichomwa linahama au walaji ndio huligawana?!Kwenye
Nguruwe
Haya makanisa hayana waumini wa kudumu kila siku kuna watu wapya sehemu zingine hata nusu ya kanisa kila Siku ni wageni..hao ndio wengi wanakwenda na mashida mengiMakanisa ya watoa mapepo hakuna siku yatakayo maliza mapepo maana yanazunguka humohumo kanisani, likitoka kwa huyu litaingia kwingine, cycle kama ya mvua.
Tena ukijipeleka maskini ya Mungu unaweza kulivaa lipepo, mifano nimeiona sana huku mitaani.
Wageni hawawezi kuwapiku wenyeji kwa idadi mkuu.Haya makanisa hayana waumini wa kudumu kila siku kuna watu wapya sehemu zingine hata nusu ya kanisa kila Siku ni wageni..hao ndio wengi wanakwenda na mashida mengi
😀😀😀 nimekunyooshea mikono.Ndio maana wanasema Nguruwe inatakiwa ichomwe au ikaangwe katika moto mkali sana mkuu. Ili hao jamaa wasepe pia. Hahahaa.
Hahaha yanatoka kweli au tunayagawana tu kiainaNdio maana wanasema Nguruwe inatakiwa ichomwe au ikaangwe katika moto mkali sana mkuu. Ili hao jamaa wasepe pia. Hahahaa.
Mbona Yesu alitoa mapepo huko middle east?! Huko ulaya au amerika wao hawatoani mapepo?!Haya mambo yapo kwenye makanisa ya Africa tu
ku delete ni "kuua".kuamuru pepo kutoka ni kama ku move file,say kutoka kwenye sd kwenda kwenye phonememory,sasa haya yanakuwa moved tu je yanaenda wapi?Waombaji mahiri na wenye weledi wanapoamuru mapepo kutoka huwaamrisha kwenda kuzimu maana huko ndio makao yao,lakini hawa waombaji wepesiwepesi huishia kusema tokaaaaaaaa na wakitoka hakika kwa akili ya kawaida watakuwa wanazagaazagaa tu na wakikuta mtu upo dhaifu kiroho hukuingia na kufanya makao yao ndani ya mwili wako.Mkuu, kwani wew ukidelete picha kwenye simu yako inaenda wapi?
Kama Nabii Tito au Nabii Bushiri mkuu? Hahaha.😀😀😀 nimekunyooshea mikono.
Hahaha kuna jamaa anasema eti yakitoka yanaa break tu lakini yanakusubiri kwenye mlango wa kanisa, ukimaliza inabada/sala yanakurudia.ku delete ni "kuua".kuamuru pepo kutoka ni kama ku move file,say kutoka kwenye sd kwenda kwenye phonememory,sasa haya yanakuwa moved tu je yanaenda wapi?Waombaji mahiri na wenye weledi wanapoamuru mapepo kutoka huwaamrisha kwenda kuzimu maana huko ndio makao yao,lakini hawa waombaji wepesiwepesi huishia kusema tokaaaaaaaa na wakitoka hakika kwa akili ya kawaida watakuwa wanazagaazagaa tu na wakikuta mtu upo dhaifu kiroho hukuingia na kufanya makao yao ndani ya mwili wako.
Itakuwa "Wadau" wa ile kitu pendwa tunagawana kwa ratio ya 4:1 mkuu. Hahaha.Hahaha yanatoka kweli au tunayagawana tu kiaina
Hahaha kuna jamaa anasema eti yakitoka yanaa break tu lakini yanakusubiri kwenye mlango wa kanisa, ukimaliza inabada/sala yanakurudia.
Anasema yeye huwa anatubu aache pombe lakini akitoka kanisani kitoa cha kwanza bar anakunywa mpaka jioni.
Anasema mapepo mlango wa kanisa mengi yanawasubiri wenye nayo kama magari.
Jamaa anasema yeye pepo lake halitaki kukemewa, akiingia kanisani linamsubiri mlangoni. Akitoka tu analo, anaanza kutongoza wana kondoo anaenda nao bar, na kwingine. Anahisi lina muhimiza kwenda kanisani.nadhani ni sawa tu usemavyo,maana hayo hayakuamrishwa kwenda kuzimu,so yametoka yameamua kutega mahali na yanaweza kukuingia tena wewe mwenyewe au mwingine yoyote yule,ingawaje kiimani tunaamini hayatoenda kutega mlangoni kwa kanisa maana eneo lote lile ni moto tupu kwa mapepo,haiyumkini ni nje getini kule barabarani yanakusubiri
Nabii Tito hakufikii.Kama Nabii Tito au Nabii Bushiri mkuu? Hahaha.