Wachungaji wanapotutoa mapepo yanaenda wapi?

Wachungaji wanapotutoa mapepo yanaenda wapi?

Mafwi Munda

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2017
Posts
1,750
Reaction score
1,604
Kuna hadithi kwenye Biblia huwa inasema, Yesu aliwahi kutoa mapepo na ajayaamuru yaingie kwa Nguruwe(kitimoto). Sasa hawa wachungaji wa zama hizi wanapotoa mapepo, huyaamuru yaende wapi?

Enzi hizo pale viwanja vya Jangwani mapepo yalikuwa yakitoka sana.

Hata Gwajima pale viwanja vya Tanganyika packers alitoa sana mapepo, lakini huwa hawayaamuru kwenda popote, je ndio kusema hayana pa kwenda au yanaishi wapi?

Hivi hawa nguruwe wa zama hizi bado wanayo yale mapepo yaliyoelekezwa kwao au wale ni specie ya kule Middle East tu?
 
sasa wakishayapeleka kwa nguruwe c itakuwa NI hasara kwao..
yaani kinachofnyika hapo ykitolewa kwa Huyu yanapachikwa kwa huyu ili naye aende kutolewa ..hapo sasa ndipo atakpojikuta anauziwa maji ya upako laki 2 ili apone
 
Hakuna mtu aliwahi kuona pepo!hizo ni mbinu za kupigwa ela tu.wanawake wakishakuwa hawarizishwi ndo wanakuwa na mapepo!embu wapeni wake zenu dozi vizuri usiku na mchana uone kama ataenda kutolewa mapepo
 
Hakuna mtu aliwahi kuona pepo!hizo ni mbinu za kupigwa ela tu.wanawake wakishakuwa hawarizishwi ndo wanakuwa na mapepo!embu wapeni wake zenu dozi vizuri usiku na mchana uone kama ataenda kutolewa mapepo
Hahaha mbona vyangudoa ndio wanasemwa kuwa na mapepo?! Wanapata dozi kuubwa lakini still wanarudi site kusubiri wateja, dozi kiasi gani hutoa pepo?!
 
Kuna hadithi kwenye Biblia huwa inasema, Yesu aliwahi kutoa mapepo na ajayaamuru yaingie kwa Nguruwe(kiti moto). Sasa hawa wachungaji wa zama hizi wanapotoa mapepo, huyaamuru yaende wapi?! Enzi hizooo pale viwanja vya Jangwani mapepo yalikuwa yakitoka sanaa,
Hata Gwajima pale viwanja vya Tanganyika packers alitoa sana mapepo, lakini huwa hawayaamuru kwenda popote, je ndio kusema hayana pa kwenda au yanaishi wapi?!
Hivi hawa ngurue wa zama hizi bado wanayo yale mapepo yaliyoelekezwa kwao au wale ni specie ya kule middle east tu?!
Yale mapepo aliyoyatoa Yesu kwa yule mgerasi
Yaliomba yenyewe yaende kwenye kundi la nguruwe
Hivyo nguruwe wote walioingiwa wale mapepo walikufa maji

Kumbuka kuwa ilikuwa Ni kundi moja la nguruwe

Ikumbukwe kuwa sio Kila pepo lilikuwa likitolewa kwa watu lilikuwa likienda kwenye nguruwe

Kifupi tu Ni kuwa
Wale pepo waondokapo hurudi kwa aliyewatuma (wakala wa shetani)
Mf mganga wa kienyeji ,mchawi ,
Au hata shetani mwenyewe


Pepo anapmtoka mtu
Mtu huyo hubaki hubaki salama
Pepo anatafuta sehemu ambayo hakuna Moto
Anamuingia
 
Yale mapepo aliyoyatoa Yesu kwa yule mgerasi
Yaliomba yenyewe yaende kwenye kundi la nguruwe
Hivyo nguruwe wote walioingiwa wale mapepo walikufa maji
Hivyo mapepo yali suffocate baharini au nguruwe walikufa maji mapepo yakaogelea?! Au ndiyo mapepo nasikia huwa yanaishi baharini?!
Kumbuka kuwa ilikuwa Ni kundi moja la nguruwe

Ikumbukwe kuwa sio Kila pepo lilikuwa likitolewa kwa watu lilikuwa likienda kwenye nguruwe

Kifupi tu Ni kuwa
Wale pepo waondokapo hurudi kwa aliyewatuma (wakala wa shetani)
Mf mganga wa kienyeji ,mchawi ,
Au hata shetani mwenyewe


Pepo anapmtoka mtu
Mtu huyo hubaki hubaki salama
Pepo anatafuta sehemu ambayo hakuna Moto
Anamuingia
 
Yale mapepo aliyoyatoa Yesu kwa yule mgerasi
Yaliomba yenyewe yaende kwenye kundi la nguruwe
Hivyo nguruwe wote walioingiwa wale mapepo walikufa maji

Kumbuka kuwa ilikuwa Ni kundi moja la nguruwe

Ikumbukwe kuwa sio Kila pepo lilikuwa likitolewa kwa watu lilikuwa likienda kwenye nguruwe

Kifupi tu Ni kuwa
Wale pepo waondokapo hurudi kwa aliyewatuma (wakala wa shetani)
Mf mganga wa kienyeji ,mchawi ,
Au hata shetani mwenyewe


Pepo anapmtoka mtu
Mtu huyo hubaki hubaki salama
Pepo anatafuta sehemu ambayo hakuna Moto
Anamuingia
Ndiyo hayo huishi baharini siku hizi
 
Kuna hadithi kwenye Biblia huwa inasema, Yesu aliwahi kutoa mapepo na ajayaamuru yaingie kwa Nguruwe(kitimoto). Sasa hawa wachungaji wa zama hizi wanapotoa mapepo, huyaamuru yaende wapi?!

Enzi hizooo pale viwanja vya Jangwani mapepo yalikuwa yakitoka sana. Hata Gwajima pale viwanja vya Tanganyika packers alitoa sana mapepo, lakini huwa hawayaamuru kwenda popote, je ndio kusema hayana pa kwenda au yanaishi wapi?!

Hivi hawa ngurue wa zama hizi bado wanayo yale mapepo yaliyoelekezwa kwao au wale ni specie ya kule middle east tu?!
Mkuu, kwani wew ukidelete picha kwenye simu yako inaenda wapi?
 
Hakuna mtu aliwahi kuona pepo!hizo ni mbinu za kupigwa ela tu.wanawake wakishakuwa hawarizishwi ndo wanakuwa na mapepo!embu wapeni wake zenu dozi vizuri usiku na mchana uone kama ataenda kutolewa mapepo
Akili yako ulishawekeza kwenye kiwanda hicho

Tanzania kutoka kwenye umasikini mpaka nchi ziungane
 
Back
Top Bottom