witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,100
KwakweliKajiajiriii..
KwakweliKajiajiriii..
Inabd naye am amtengeneze tuRafiki yangu pia alidhulumiwa kiwanja na mchungaji wake!akauza hajampa pesa mpk kesho kuna watu wachungaji wanaafiki sana
OMG, mke wanguuuuiKama ni member wa evangelical church utalika tu hamna namna ingine
Utakee usitakee tutakulazimishaa uokoke maana hakuna namnaYaani umekwenda kusali, ila wanang'ang'ania uwe mshirika wa kudumu, sio kama RC ambao unasali kanisa lolote na unakuwa huru, hakuna wa kukuuliza.
Ila kwa makanisa haya mengi ya pentecoste hii ni changamoto, mbaya zaidi ukienda kusali na kujulikana ni mgeni utaulizwa kama umeokoka au la! Kama bado wengi huwa wanakulazimisha uokoke.
Yaani hawaelewi ukiwaambia mimi bado bado, wanakera mno! Watu wengine hawajazoea kusali kanisa moja, sasa mnawakatisha tamaa watu wa aina hii, mnakuwa ga na vimaswali vya kipuuzi mno sometimes.
hakuna namna au sioUtakee usitakee tutakulazimishaa uokoke maana hakuna namna
Mimi au? Kama ni mimi ninefungua nyuzi mbili tu leo. Je, na waliofungua zaidi ya tano? Hujui leo ni weekend?Asee unafungua nyuzi nyingi sana na kureply kila comment ......shughuli zako unafanya saa ngapi?
MmmhLabda nitake mwenyewe, wakati mwingine huwa niwapendwa wenyewe kutaka kuliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana kuwa na adabu, yaani unataka kuopoa ke kwenye uzi wangu? Hii sio kheshma kabisaHeheheheh kwahio we huliki?
Hiii we nini mbona jazbaAcha ujinga kwenye thread za wenzako mpuuzi wewe utakatifu wa katoliki upo kwenye nini?
Naona kamsamehe tuuu!yaani Mimi kuna kiongozi 1 namjuaga mambo zake nasikitikaInabd naye am amtengeneze tu
Asimuache
Wachungaj wengi wasanii tu
Ova
Ule ukaribu nilikua nina mashaka naoHahaaa!jamaa una ujinga mwingii!!eti anamgonga kabisaa...kaàhhh
Hahahahahah kama kawaida
Haaa haaa nakuja na uzoefu ila hayo mengine ya masihara uwafanyie wengine huko huko mie kwenye uhazini tu ndiyo unanitosha labda nakuimba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahah chombeza timeKijana kuwa na adabu, yaani unataka kuopoa ke kwenye uzi wangu? Hii sio kheshma kabisa
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Sikia hii mbwa..!! Usijione kuwa upo sehem salama wakati huo unaouita uislam umeletewa na waarabu... Mpuuzi kabisa yan usidhihaki dini ya mwenzako ilihal ww hujui kama upo sehem salama au laah..!!Ukristo sio dini, iweje utoke hapa ukasali sehemu tofauti ukaulizwe?
Dini ya kweli hii uislam unatoka hapa tz unaensa nchi yoyote unaingia msikiti wowote unapiga zako ibada unaondoka, hakuna mtu ataanza kukuhoji wewe dhehebu gani unasali wapi.
Sikia hii mbwa..!! Usijione kuwa upo sehem salama wakati huo unaouita uislam umeletewa na waarabu... Mpuuzi kabisa yan usidhihaki dini ya mwenzako ilihal ww hujui kama upo sehem salama au laah..!!