USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Wachumba (ke) wanatabia ya kuforce ndoa mara twende kwetu kwanza, mara nilipie mahali kwanza' mara pete kwanza mpenzi. Baada ya muda unakuta jamaa kaoa na mara nyingi unakuta mwanaume hata hajajipanga ila lazima aoe tu. hii imewatokea wadau wengi sana ndugu zangu au jamaa tu .
Kwako wewe mwanaume mwenzangu wa mmu ulilazimishwa kijanja au ulipenda kutoka moyoni tupe ushuhuda hapa huyu aliamua kujioa mwenyewe baada ya kushindwa kushinikiza ndoa
Kwako wewe mwanaume mwenzangu wa mmu ulilazimishwa kijanja au ulipenda kutoka moyoni tupe ushuhuda hapa huyu aliamua kujioa mwenyewe baada ya kushindwa kushinikiza ndoa