Teh teh..Nyie viumbe wabaya sana..Acheni hizo
Utasikia npo tayar hata kulala chini ili mradi tuoane. Baada ya hapo sasa mwanaume utaujua mji vizur, tuoe jamani kujipanga sio lazima ila uwezo wa kulala mahali pazuri, kula vizur, na pesa ya matibabu uwe na uhakika wa mahali pa kupatia vijipesa. Mwenzio atakuambia hata kula mara moja kwa siku yupo tayari, lakini baadae atakuambia nmechoka maisha haya bila kujali km hali ya maisha bado haijawa nzur kwenu!. Ni hayo tu kwa mm.
Mimi nimelisema hili suala juzi humu nikatukanwa kila aina ya matusi.
na kujishikisha mimba fasta...hawajambo....
Hii mada kama inanihusu