Saa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 6,500
- 12,833
😂😂🤣Bongo kazi sana.Hawa kina Mwijaku na Masanja wana leseni ipi?
😂😂🤣Bongo kazi sana.Hawa kina Mwijaku na Masanja wana leseni ipi?
Wanaokula maudhui ya kumponda dk Samia ndio hao hao wanaokula maudhui ya kumpamba Dk samia.Ingekuwa maudhui yao ni ya kumsifia Mama Samia wala wasingeguswa.
Hawa kina Mwijaku na Masanja wana leseni ipi?
Double standard, Ccm ni laana kwa Watanzania.
Freedom after speech inategemea na ulichoongea.Freedom of speech is constitutionally guaranteed but freedom after speech is very subjective!
Nyinyi mnataka kuona kila mtu anageuka chawa hilo haliwezekani.Hao wachokonozi huwa ni wajinga mno. Kuna post yao wanaunga mkono ukeketaji kwa wanawake. Watu kama hawa wasipodhibitiwa watapotosha umma
leseni wanayo. wataileta mahakamani.Hapo kosa la kukosa leseni online media hawachomoki.
Hilo kosa lingine wanashinda kesi mapema sana. Saa 2 asubuhi tu.
Refer to Mrisho Mpoto, ile nyimbo yake ya mjomba wakati wa JK ilimuweka kando na watawala, sasa hivi baada ya kuusoma mchezo kageuka vuvuzela na mwendo wa ngiri kila anapofanya ziara za ndani nchi Mama basi Mrisho Mpoto ni kama mkia humkosi anavuta per diem zake na bahasha daily.WANGEKUWA WANASIFIA HATA WASINGEULIZWA LESENI
Mama Samia amebarikiwa kuliko bikira Maria, na Abdul mzao wa tumbo lake amebarikiwa.Freedom after speech inategemea na ulichoongea.
Kama timbulo na magufuliRefer to Mrisho Mpoto, ile nyimbo yake ya mjomba wakati wa JK ilimuweka kando na watawala, sasa hivi baada ya kuusoma mchezo kageuka vuvuzela na mwendo wa ngiri kila anapofanya ziara za ndani nchi Mama basi Mrisho Mpoto ni kama mkia humkosi anavuta per diem zake na bahasha daily.
Na vile amejuwa kukaririshwa miradi na figure basi Mama humwambii kitu kwa Mpoto.
Hiyo ndio Tanzania yetu ilipofikia.
Kuna dada mmoja wa No reform leo nimeona clip yake anahamasisha october tunatiki.Sifia CCM ubaki salama...
kakojoe ukalaleNgoja wakijue kilichomtoa kanga manyoya
Hiyo dhamana ni matokeo ya kauli ya Raisi kwa Polisi kukomesha watu kupotea.Nchi imefitinika.Hii nchi
Wewe unajuaje kama hawana?.Na je maudhui waliyoshtakiwa nayo hao jamaa yakoje?.Unapokuja na hoja yakupingana na jambo leta kitu sahihi kinachoeleweka ili tuone ukweli wa unachokizungumza ukoje.Kusema tu juu juu na jumla jumla haiwezi kua ufumbuzi wa jambo lolote sana sana utaoneka unaongea kwasababu yatotauti yakisiasa.Ingekuwa maudhui yao ni ya kumsifia Mama Samia wala wasingeguswa.
Hawa kina Mwijaku na Masanja wana leseni ipi?
Double standard, Ccm ni laana kwa Watanzania.
Wapigwe faini tuwalipie tu na tuwachangie kukata kibali tuendelee kupata hayo maudhuiAdhabu: Mtuhumiwa, akishatikiswa na kuhukumiwa, atapewa faini ya Sh300,000 au adhabu nyingine kama Sheria inavyoeleza
Na sisi tunaochangia humu mbona hatuna leseni na hawatukamati?na kosa la pili ni kutoa maudhui mtandaoni bila ya kuwa na leseni kinyume na kifungu namba 116(3)(b) cha Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (Kanuni za Maudhui Mtandaoni).
Kuna tofauti kati ya kupandishwa na kushtakiwa mahakamani, hata mafundi ujenzi wanapanda kwenye paa za majengo ya MahakamaKupandishwa mahakani si hukumu, wangapi wanapandishwa na kutoka?
Usitoshie watu hapa