acheni ubishi wabongo,what's impossiable?
this is very sensitive. Huyu jamaa kama jerry murro.
Kama hizi habari ni za kweli then we are done.
Leo nimeingia benki only to be told i can buy a doller @ 1,405. I really wonder where
this will reach in the next 4 months?
Ingekuwa enzi za LOWASA ANGESEMA UCHUMI UNAlane:lane:lane:
wabongo bwana, mtu katoa taarifa wao ndo kwanza wanaanza blame na kuhitaji source. sasa ukipata source itakusaidia nini?
kwani hivi alivyofanya si ametoa taarifa ndo maana mimi na wewe tumeipata khabari hii. so hata wewe baada ya kuipata ni jukumu lako kisambaza na if possible uipeleke sehemu husika.
hii kitu inatisha ....lkn pengine ni kweli. ikiwa mtu kaja na ushahidi wa kuona contena la sigara embassy kwanini iwe ajabu kwa coins? yawezekana baada ya mda wakaingia na elfu kumi kumi feki. lazima dola ifike 2000 mwaka huu