Wachina wanatufanyia kusudi

kakuruvi

JF-Expert Member
Sep 2, 2009
770
256
Kwa kweli tangu pikipiki za kichina ziingie nchini watu wengi aidha wamepoteza maisha au wamepata vilema vya maisha. inawezekana ni madereva wetu wazembe, miundo mbinu, lakini pia nyingi si imara. Soma jina la hiyo wamekupa ilani kabisa ukiipanda hakuna kesi hapo......... pikipiki.jpg

Kwa ukubwa zaidi

 
kwa wanaojua marketing sidhani pikipiki kama hizo zenye jina kama hilo wanauza bongo, kama zipo basi wamezidi, duh, yaani unapeleka tuu bidhaa nchi ya watu hujui jina la bidhaa yako lina maana gani katika soko unaloenda kuuza, itakua kazi
 
hata hivyo hizo pikipiki ndio jinyee, maana zinavyowakata miguu madogo wa bodaboda!
 
Iko siku wajapani watatoa zao kulingana na ule mji wao wa kumamoto na kwa wabongo tulivyo wazee wa copy and paste tutanunua tu!!
 
user-online.png
<!-- google_ad_section_start(weight=ignore) -->CPU<!-- google_ad_section_end -->

Today 04:54 PM
#17 JF Premium Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



<DL class=userstats>Join Date : 13th January 2011
Location : MotherBoard
Posts : 3,295
<DT>Thanks</DT><DD>276</DD>Thanked 1,052 Times in 570 Posts

</DL><DL class=user_rep>Rep Power : 27
</DL>

[h=2]
icon1.png
<!-- google_ad_section_start -->Re: "Bambo" apata ajali mbaya<!-- google_ad_section_end -->[/h]
<!-- google_ad_section_start -->

Wasanii wenzake na Bambo wakiwa na sura za majonzi mara walipofika hospitalini kumwona mwenzao Dickson Samson Makwaya a.k.a Bambo aliyelazwa kitandani.


attachment.php


Picha ya dereva wa pikipiki waliyopata nayo ajali alfajiri ya leo.

attachment.php


Picha ya Bambo

attachment.php


<!-- google_ad_section_end -->​
<FIELDSET class=postcontent><LEGEND>
paperclip.png
Attached Thumbnails</LEGEND> </FIELDSET>
 
Mkuuu hiyo pikipiki nimewahi kuiona kariakoo tena ilikuwa na katela kwa nyuma
 
ndo baadhi ya watu walojinyea...nawapeni pole na mungu awasaidie

ajali ni ajali, zingine ni natural na nyingine ni uzembe au ubovu wa kifaa unachosafiria, watu wanaokufa na pikipiki ambazo siku hizi kila pikipiki ni ya kichina na wanaokufa na magari ambayo sidhani ni ya kichina uwiano vipi? je kwa mwezi wanakufa au kuumia wangapi kwa pikipiki za kichina na wangapi wanakufa na kuumia kwa vyombo vya usafiri visivyo vya kichina? nini uhakika wachina washaanza kuuza magari yao bongo yakiwemo jian fang ambayo mengi si ya abiria, JAC, pia la mizigo na YUTONG BUS ambayo ni la abiria, je kati ya hayo YUTONG na MARCOPOLO na mengine ya kuchonga kwa kubadilisha FUSSO kuwa BUS la abiria mna data? hata hivyo tusisema hawa waliop[ata ajali wamejinyea, haisound fresh.
 
Sasa mnashangaa nini kwa wachina,mbona hamshangai ndugu zenu wazanzibari ambao wanaongea kiswahili kizuri lakini bado wana maeneo kama mchamba wima,Pumbuji,Jambeni n.k.
 
Back
Top Bottom