Wachina waanza kutengeneza Mchele feki wa plastic

Wachina waanza kutengeneza Mchele feki wa plastic

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,686
Kwa Hali Hii Tecknolojia Itatumaliza

Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamepiga hatua nyingine na kiingilia hadi kwenye vyakula.Hii ni baada ya nchi ya China kugundua mchele wa plastiki.

Mchele huo umeanza kuuzwa kwenye supermarket karibu zote nchini humo na baadhi ya migahawa pia.

Watu wengi wamelalamikia kitendo hicho cha kuuza vyakula feki lakini imekuwa ni ngumu kuzuia kwani nchi hiyo ni kubwa na ina watu wengi sana.
 

Attachments

  • ricr2011e_2x.jpg
    ricr2011e_2x.jpg
    5.9 KB · Views: 1,690
Wachina waavyojua biashara msishangae umeingia Tz
 
Ndio maana watanzania wengi wanaakili za Nyumbu, huenda wamelishwa mchele wa plastic.!
 
Mtoa mada huo sio mchele WA plastic umekosea sana,
synthetic rice upon siku nyingi tu,
Kwani hukuwahi kula mchele ""kitumbo""ndg zangu WA enzi za mwl wanaujua sana!
-->>wana uchukuwa mchele wanaunyambua kwa computer kupata what make it so delicios / and taste infact huwa by 85% ni ngano,+ pacentage ya original rices + stabilizer
 
Kwa Hali Hii Tecknolojia Itatumaliza

Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamepiga hatua nyingine na kiingilia hadi kwenye vyakula.Hii ni baada ya nchi ya China kugundua mchele wa plastiki.

Mchele huo umeanza kuuzwa kwenye supermarket karibu zote nchini humo na baadhi ya migahawa pia.

Watu wengi wamelalamikia kitendo hicho cha kuuza vyakula feki lakini imekuwa ni ngumu kuzuia kwani nchi hiyo ni kubwa na ina watu wengi sana.

Mkuu sio mchele tu (synthetic rice). Hata nyama fake (synthetic beef) ipo pia, tena tamu tu!
 
Kwa Hali Hii Tecknolojia Itatumaliza

Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamepiga hatua nyingine na kiingilia hadi kwenye vyakula.Hii ni baada ya nchi ya China kugundua mchele wa plastiki.

Mchele huo umeanza kuuzwa kwenye supermarket karibu zote nchini humo na baadhi ya migahawa pia.

Watu wengi wamelalamikia kitendo hicho cha kuuza vyakula feki lakini imekuwa ni ngumu kuzuia kwani nchi hiyo ni kubwa na ina watu wengi sana.

hawa jamaa ni noma,wanaweza kutengeneza hata papuchi feki.unajikunja unadhani unakula kitu original kumbe kapachika feki kwa juu yake.
 
Kwa Hali Hii Tecknolojia Itatumaliza

Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamepiga hatua nyingine na kiingilia hadi kwenye vyakula.Hii ni baada ya nchi ya China kugundua mchele wa plastiki.

Mchele huo umeanza kuuzwa kwenye supermarket karibu zote nchini humo na baadhi ya migahawa pia.

Watu wengi wamelalamikia kitendo hicho cha kuuza vyakula feki lakini imekuwa ni ngumu kuzuia kwani nchi hiyo ni kubwa na ina watu wengi sana.
Walianza na mayai, leo wako na mchele https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/790369-angalia-video-wachina-wanavyotuuwa-dah-majanga.html
 
Lowasa ukiingia tu timua hawa watu na viwanda vyao feki
 
Back
Top Bottom