jerrytz
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 5,980
- 4,284
Rais wao na Rais wetu walisaini mikataba.Kabla ya kuhoji Wachina wanafanya nini au wamebeba nini ni vyema kuuliza kama unaweza kupatiwa kopi ya mikataba hiyo. Na kwa kuwa huwezi kupewa ama kujua chochote kilichopo kwenye mikataba hiyo ni vyema tu kuendelea na shughuli zako za maendeleo............