Mapambano Yetu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,133
- 2,128
Kuna meli kubwa sana za wachina zinakuja Mtwara na zinashusha mitambo yenye mashaka miongoni mwa watanzania. mbali na mitambo hiyo, kunatetesi kuwa meli hizo zinaiba mafuta eneo la mtwara. ndani ya meli hizo hakuna mtanzania/mwafrika anayeruhusiwa kuingia ndani (hata maofisa usalama). ni wachina pekee na wenye vibari ndio wanaoingia kwenye meli hizo. watanzania tuwe makini na ujio wa watu hawa kwani kuuza mapambo ni geresha ya kutulaghai. nyuma ya hilo (mapambo) kuna mambo makubwa yanaendelea.