WACHINA, Mmekuja Dodoma kutujengea chuo kikuu mmetuachia na zawadi ya vitoto vya Kichina!

Jumakidogo

R I P
Jul 16, 2009
1,851
417
Hawa jamaa ni kiboko. Wamejenga chuo bomba, wamemaliza kazi salama lakini sasa vitoto vya rangi mbili vimeanza kuonekana mitaani. Dada zetu nao hawana dogo, walivyoona wachina hawa ni watu wa kujichanganya mpaka kwenye vibanda vyo gongo wakaona ndio nafasi yao ya kuwakamua. Sasa wamekamuana, ukienda kliniki kwa siku hukosi kuona vitoto viwili au vitatu viswachina.

Ndo weshakuwa mashemeji tena! Nani anabisha? Kwa jinsi jamaa hawa walivyozaliana kwa fujo huko kwao. Miaka 20 ijayo nchi yetu robo nzima ya watu watakuwa waswachina.
 
Mwenye dada hakosi shemeji banaa!ngoja tuchanganye na akili ya kichina labda tutajikwamua na ukwasi huu!

Hata morogoro kuna breed nzuri tu ya wasouth africa, tena imesaidia ku-neutralise ile mbegu fupi ya kiluguru. Hongereni kinadada wa dodoma, hofu yangu ni huo ukimwi manake mnaonesha umahiri kwa ngono nzembe.
 
Hakuna shida na sisi baadae tutakuwa na uwezo wa kutengeneza bidhaa feki..
 
Hakuna jinsi, kama dada zetu hawajui kusema ''hapana'' ila wanakuwa wepesi wa kuvua ''chupi'' unategemea nini!!!!.
 
Na pale Temeke Wachina walipojenga ule uwanja wa Mkapa wameacha nini?
 
Mwenye dada hakosi shemeji banaa!ngoja tuchanganye na akili ya kichina labda tutajikwamua na ukwasi huu! Hata morogoro kuna breed nzuri tu ya wasouth africa, tena imesaidia ku-neutralise ile mbegu fupi ya kiluguru. Hongereni kinadada wa dodoma,hofu yangu ni huo ukimwi manake mnaonesha umahiri kwa ngono nzembe.
kwweli aisee... hawavai, ila naskia vidodoma vya wachina ni viandunje kwahiyo inawezekana haziwatoshi
 
Hawa jamaa ni kiboko. Wamejenga chuo bomba, wamemaliza kazi salama lakini sasa vitoto vya rangi mbili vimeanza kuonekana mitaani. Dada zetu nao hawana dogo, walivyoona wachina hawa ni watu wa kujichanganya mpaka kwenye vibanda vyo gongo wakaona ndio nafasi yao ya kuwakamua. Sasa wamekamuana, ukienda kliniki kwa siku hukosi kuona vitoto viwili au vitatu viswachina.

Ndo weshakuwa mashemeji tena! Nani anabisha? Kwa jinsi jamaa hawa walivyozaliana kwa fujo huko kwao. Miaka 20 ijayo nchi yetu robo nzima ya watu watakuwa waswachina.

ndio vizuri pengine miaka ijayo wakikua tutapata taifa la wachapa kazi wanaoogopa kuiba mali ya umma ili uchumi wa tanzania ukue kama china
 
Unamaanisha hamnaga za watoto? OMG, inamaana hawa under 18 wa jf hawatumii? Hebu tuanze mchakato,dili hilo!
kwweli aisee... hawavai, ila naskia vidodoma vya wachina ni viandunje kwahiyo inawezekana haziwatoshi
 
Back
Top Bottom