Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Hawa jamaa ni kiboko. Wamejenga chuo bomba, wamemaliza kazi salama lakini sasa vitoto vya rangi mbili vimeanza kuonekana mitaani. Dada zetu nao hawana dogo, walivyoona wachina hawa ni watu wa kujichanganya mpaka kwenye vibanda vyo gongo wakaona ndio nafasi yao ya kuwakamua. Sasa wamekamuana, ukienda kliniki kwa siku hukosi kuona vitoto viwili au vitatu viswachina.
Ndo weshakuwa mashemeji tena! Nani anabisha? Kwa jinsi jamaa hawa walivyozaliana kwa fujo huko kwao. Miaka 20 ijayo nchi yetu robo nzima ya watu watakuwa waswachina.
Ndo weshakuwa mashemeji tena! Nani anabisha? Kwa jinsi jamaa hawa walivyozaliana kwa fujo huko kwao. Miaka 20 ijayo nchi yetu robo nzima ya watu watakuwa waswachina.