Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,627
Cheki Salva anavyohadaiwa na Wachina
Hahahaa macho_mdiliko siku nyingi hatukutani forumKitu ambacho nasifu ngozi nyeupe ni kuwa wanajua kula na kipofu. Na wanakuja jinsi waafrika tunavyopenda kunyenyekewa na kufanywa ''miungu watu''. Nakumbuka kulikuwa na clip ya Makonda alienda China siku za nyuma, ikiona walivyompa ujiko ungedhani ndiye aliyebeba roho zao.
Kitu ambacho nasifu ngozi nyeupe ni kuwa wanajua kula na kipofu. Na wanakuja jinsi waafrika tunavyopenda kunyenyekewa na kufanywa ''miungu watu''. Nakumbuka kulikuwa na clip ya Makonda alienda China siku za nyuma, ikiona walivyompa ujiko ungedhani ndiye aliyebeba roho zao.
Hawa wachina siyo kabisa naona viongozi wengi wa kiafrika bado hawajawaelewa vizuri.Ajiangalie asije aka sign mkataba wa Ki- Mangungo wa Msovelo
Na dushe lake lilisimama kwa wale waremboNdugayi pia alienda sijui Korea ile kama sio China, akaimbiwa wimbo wa Taifa (Kiswahili) na warembo.... akabaki kuduwaa tu na kupiga selfie kama juha..!!
😃😃😃😃😃 hawa kweli wangese. .khaa!
hata nchi yako leo hii ikiwa super power itafanya hivyo hivyo kama wafanyavyo USA na CHINA. .. ulimwengu ndivyo ulivyo mkuu. . samaki mkubwa anakula samaki mdogoyaani kiufupi WAZUNGU na WACHINA wote sawa hawawapendi ila wanapenda mlivyonavyo
Ila AFRIKA wengi tunaviongozi wahovyo sera zahovyo namifumo yahovyo sijawahi kuishuhudia popote pale DUNIANI
Kwani Miaka iliopita siwalikua WAZUNGU ndio wamewafikisha hapo mlipo
Chamsingi sio wakuwaona bora WAZUNGU kuliko WACHINA sababu wote wanamalengo mamaoja kwetu nayo simengine bali nimaslahi yao ambayo yanataokana nasisi
Naviongozi WENGI wakiafrika kinachozidi kuwaeka karibu na WACHINA nikwamba WACHINA Wanapokua karibu nawewe hawajali kuhusiana nayanayoendelea kuhusiana nataifa LENU sababu hayo nimambo yenu binafsi maadam hayata athiri MASLAHI yake hatakaa awaulize KITU tofauti na WAZUNGU ambao wengi kama siowote hasa WAMAGHARIBI walau wanaongelea kidogo
Mwisho kabisa siungi mkono yanayofanywa na UCHINA ila walau waache wafanye sababu waliowafiksha ama tufikisha hapa tulipo kwaasilimia KUBWA ni WAAFRIKA wenzetu wakishirikiana kwakaribu kabisa na WAZUNGU sasa Ngoma imegeuka hii wawe wapole tukwakweli sasa imefika zamu ya WACHINA kweli WACHINA sio WAZURI ila tunawaona hivi tunavyowaona sababu kubwa yawanaotaka tuwaone hivi NIWAZUNGU sababu kwakiasi KIKUBWA jamaa anaingia sehemu nyingi sana ambazo zinamaslahi yale yale ambayo walitakiwa wayapate wao WAZUNGU
UBEBERU SAWA KUTOKA MATAIFA TOFAUTI TUU AWE MCHINA AMA MZUNGU MUARABU N.K mnatakiwa mjiongeze sasa hamjawahi kujiuliza mnakwamia wapi ?!
😃😃😃😃Ng'wanapagi,
Kitu ambacho nasifu ngozi nyeupe ni kuwa wanajua kula na kipofu. Na wanakuja jinsi waafrika tunavyopenda kunyenyekewa na kufanywa ''miungu watu''. Nakumbuka kulikuwa na clip ya Makonda alienda China siku za nyuma, ikiona walivyompa ujiko ungedhani ndiye aliyebeba roho zao.
hatari sanaHayo mafuta hata kabla ya Sudan kutengana waliokua wanachimba ni wachina wanabadilishana na silaha hapo hakuna jipya.wazungu walioyagundua miaka ya 80 waliondoka na chao maana kukawa na civil war zaidi ya miaka 30.
😃😃😃Ndugayi pia alienda sijui Korea ile kama sio China, akaimbiwa wimbo wa Taifa (Kiswahili) na warembo.... akabaki kuduwaa tu na kupiga selfie kama juha..!!
daah ukweli mchungu...hata nchi yako leo hii ikiwa super power itafanya hivyo hivyo kama wafanyavyo USA na CHINA. .. ulimwengu ndivyo ulivyo mkuu. . samaki mkubwa anakula samaki mdogo
jambo ambalo waafrica tunalo paswa kulifanya nikujikomoa toka katika haya mazingira ya kutumiwa kama ngazi kwaajili ya mataifa mengine kuweza kupanda kiuchumi na kufikia malengo yao
sisi tujiimarisha ili tuweze kuwa kama walivyo wao kisha tutafute waku watawala...
wajua wakati sisi tunawaona kuwa china na USA ni wabaya kwetu. mbele ya wananchi wao wana onekana kuwa ni mashujaa.. hii ina maana kwamba wema na ubaya wa mtu unategemea na aliposimamia. ...
MKuu yatupasa tutambua kwamba falsafa ina taka pawe na mtawala na watawaliwa so sisi ili tuweze kujikomboa yatupasa tuchague kuwa watawala
ndio hivyo chief..Mimi binafsi naichukia USA but natambua kuwa nchi yeyote ile ikiwa super power itatenda kama atendavyo USA... cause ndivyo masuala ya utawala yalivyodaah ukweli mchungu...
eeeehNdugayi pia alienda sijui Korea ile kama sio China, akaimbiwa wimbo wa Taifa (Kiswahili) na warembo.... akabaki kuduwaa tu na kupiga selfie kama juha..!!
Kabsa ila pia ubinafsi waviongozi wengi waafrika unaigharimu afrikndio hivyo chief..Mimi binafsi naichukia USA but natambua kuwa nchi yeyote ile ikiwa super power itatenda kama atendavyo USA... cause ndivyo masuala ya utawala yalivyo