DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,311
- 109,517
Mbona nyimbo zao hatuzioni Kwenye hizi tv zetu?
Je,
Hao wachina mziki wao wa asili Huimba kwa style gani?
Je, huimba kwa Kufoka foka Kama wanaHIPHOP?
Au kugani Kama kina mrisho mpoto?
Au singeli na vigodoro Kama kina msaga sumu na sholo mwamba?
Au muziki kwao Ni haramu?
Kwakweli maswali kichwani Ni mengi,
Wajuvi karibuni.
Je,
Hao wachina mziki wao wa asili Huimba kwa style gani?
Je, huimba kwa Kufoka foka Kama wanaHIPHOP?
Au kugani Kama kina mrisho mpoto?
Au singeli na vigodoro Kama kina msaga sumu na sholo mwamba?
Au muziki kwao Ni haramu?
Kwakweli maswali kichwani Ni mengi,
Wajuvi karibuni.