Wachezaji hawa walistahili hii tuzo lakini nyakati hazikuwa sahihi kwao:
1. Thierry Henry
2. Steven Gerald
3. Didier Drogba
4. Samuel Etoo
5. Frank Lampard
6. Robert Lewandowski
7. Arjen Roben
8. Wesley Sneijder
9. Toni Kroos
10. Andrea Pirlo
Namba 6 alishapata , Andrea Pirlo huyu yeye sisi mashabiki tulishampatia, mwingine wa halali Frank Ribery yeye tuzo yake iliporwa akapewa Cristiano Ronaldo , many have been robbed, Some are Xavi, Iniesta, etcWachezaji hawa walistahili hii tuzo lakini nyakati hazikuwa sahihi kwao:
1. Thierry Henry
2. Steven Gerald
3. Didier Drogba
4. Samuel Etoo
5. Frank Lampard
6. Robert Lewandowski
7. Arjen Roben
8. Wesley Sneijder
9. Toni Kroos
10. Andrea Pirlo
Lewandowski hajawahi kuipata. 2021 haikutolewa na ndio mwaka ambao lazima angebeba.Namba 6 alishapata , Andrea Pirlo huyu yeye sisi mashabiki tulishampatia, mwingine wa halali Frank Ribery yeye tuzo yake iliporwa akapewa Cristiano Ronaldo , many have been robbed, Some are Xavi, Iniesta, etc
Henry peak yake sio Ronaldinho, na kipindi cha Henry alichukua Nedved na Shevchenko, mfano Tuzo ya Shevchenko ilikua ya kindezi kupita maelezo,Mkuu weka na miaka ambayo walifanya vizuri utagundua kwamba hawakustahili.
Kuna kipindi messi alipiga magoli 92 ndani ya mwaka mmoja (pele 75) . Haya ni magoli ambayo etoo au drogba au henry wangechukua miaka mitatu au minne kuyafunga.
Kipindi henry anawika kulikuwa na Ronaldinho , kipindi cha gerald alikuwepo Zidane.
Weka na Beckham 1999.Wachezaji hawa walistahili hii tuzo lakini nyakati hazikuwa sahihi kwao:
1. Thierry Henry
2. Steven Gerald
3. Didier Drogba
4. Samuel Etoo
5. Frank Lampard
6. Robert Lewandowski
7. Arjen Roben
8. Wesley Sneijder
9. Toni Kroos
10. Andrea Pirlo
Mkuu ndio maana nimesema nyakati hazikuwa sahihi kwao. Kwa viwango walivyokuwa navyo ni masikitiko kuona hawakubeba hii tuzo.Mkuu weka na miaka ambayo walifanya vizuri utagundua kwamba hawakustahili.
Kuna kipindi messi alipiga magoli 92 ndani ya mwaka mmoja (pele 75) . Haya ni magoli ambayo etoo au drogba au henry wangechukua miaka mitatu au minne kuyafunga.
Kipindi henry anawika kulikuwa na Ronaldinho , kipindi cha gerald alikuwepo Zidane.
Huyu bishoo hakuwa mkali kivile, ni tabia tu ya waingereza kukuza vyao.Weka na Beckham 1999.
Henry peak yake sio Ronaldinho, na kipindi cha Henry alichukua Nedved na Shevchenko, mfano Tuzo ya Shevchenko ilikua ya kindezi kupita maelezo,
Mnashindwa kuelewa jambo moja.. Baloon d'Or haiangalii zaidi mafanikio ya mchezaji aliyoyapata ndani ya mwaka, imebase zaidi na individual brilliance.You already knowView attachment 2799458
Hakuna tuzo hapo ni uchoko tu.... Hiyo individual brilliance Messi msimu uliopita kaionesha wapi au nayo ipo kwa wanaomchagua!!Mnashindwa kuelewa jambo moja.. Baloon d'Or haiangalii zaidi mafanikio ya mchezaji aliyoyapata ndani ya mwaka, imebase zaidi na individual brilliance.
Ndio maana sishangai Haaland kupigwa chini.
Wote tumeona Benzema alivyochukua, well deserved.
TakatakaWachezaji hawa walistahili hii tuzo lakini nyakati hazikuwa sahihi kwao:
1. Thierry Henry
2. Steven Gerald
3. Didier Drogba
4. Samuel Etoo
5. Frank Lampard
6. Robert Lewandowski
7. Arjen Roben
8. Wesley Sneijder
9. Toni Kroos
10. Andrea Pirlo