Hatufundishi humu namna ya kuandika, tunajadili kilichoandikwa. Usijifanye bingwa wa kutaka kusajili kila mchezi mzuri wakati mechi moja wanacheza wachezaji 11. Eti kisa kuna mtu ana pesa za kuuza makinikia. Unaweza kusajili kila mtu lakini ukafungwa na kila mtu pia. Mfano, Simba msimu uliopita walisajili kila mtu lakini wakaishia kudai ubingwa FIFA.pangilia hoja zako vizuri mkuu
haya mkuuHatufundishi humu namna ya kuandika, tunajadili kilichoandikwa. Usijifanye bingwa wa kutaka kusajili kila mchezi mzuri wakati mechi moja wanacheza wachezaji 11. Eti kisa kuna mtu ana pesa za kuuza makinikia.
Alafu hawa vyura hawana uvumilivu hata kidogo, wao wanapochukua Dada za watu sisi tunawaombe kheri tu, ila wao Dada zao wakichukulia tu, halia sana na kuanza kuwaita malaya, hana shukrani, ooh huyo mwanamme alikua anampenda tangu zamani, na kuamua kuchoma nguo alizobakiza kwao. Kama mnajua mwanamme alimpenda tangu zamani kwanini kwanini Zamoyoni, Kaseja, na hata Okwi mlikua hamuwajui, si bora mnywe sumu tu, msiendelee kuona maudhi, Maana mengi yakuudhi bado yanakuja. Maana ya kiisha ya usajiri, kuna FA cup naziona 4-1 ligi mzinguko wa kwanza naziona 6-2 mzinguko wa Pili 2-0 mashindano ya kimataifa naona mkipigwa raundi ya kwanza tu, na Simba bado wakisonga mbele. Msipo kunywa sumu mapema mapresha yatawamaliza mwaka huu, Manji ametubu kuwa mtu safi, kwakweli asante Magufuri fedha safi tu ndizo zinzotumika hivi sasa.Kweli Mo unawaumiza wenzio, kila kukicha malalamiko.
Shida ya Simba ni kutaka kuifunga Yanga tu na kusahau kuwa ligi ina mechi na timu nyingi. Kuna faida gani kama utaifunga Yanga kisha kufungwa na Lyon na Kagera sugar na kutoka sare na katimu kadogo? Hizo ndizo sababu kamili za umatopeni.Alafu hawa vyura hawana uvumilivu hata kidogo, wao wanapochukua Dada za watu sisi tunawaombe kheri tu, ila wao Dada zao wakichukulia tu, halia sana na kuanza kuwaita malaya, hana shukrani, ooh huyo mwanamme alikua anampenda tangu zamani, na kuamua kuchoma nguo alizobakiza kwao. Kama mnajua mwanamme alimpenda tangu zamani kwanini kwanini Zamoyoni, Kaseja, na hata Okwi mlikua hamuwajui, si bora mnywe sumu tu, msiendelee kuona maudhi, Maana mengi yakuudhi bado yanakuja. Maana ya kiisha ya usajiri, kuna FA cup naziona 4-1 ligi mzinguko wa kwanza naziona 6-2 mzinguko wa Pili 2-0 mashindano ya kimataifa naona mkipigwa raundi ya kwanza tu, na Simba bado wakisonga mbele. Msipo kunywa sumu mapema mapresha yatawamaliza mwaka huu, Manji ametubu kuwa mtu safi, kwakweli asante Magufuri fedha safi tu ndizo zinzotumika hivi sasa.
Yes mpaka mkome, kwani mkichukua ubingwa mnaenda wapi, miaka minne mnatolewa raundi ya pili, tena ya kwanza mnacheza komoro, bora tuwetunawafunga Yanga tu, kwani mpira wetu si wa kujifurahisha tu, timu gani itajisifia makubwa waliofanya, au kuingiza fedha zaidi. Mmeshiriki mara mashindano ya kimataifa miaka minne mfurulizo Leo tunalia njaa wote tu, bora tu tuwafunge mzimie pale kwetu sisi ni burudani kabisa.Shida ya Simba ni kufunga Yanga tu na kusahau kuwa ligi ina mechi nyingi na timu nyingi. Kuna faida gani kufunga Yanga kisha unafungwa na Lyon na Kagera sugar na kutoka sare na katimu kadogo? Hizo ndizo sababu kamili za umatopeni.
Sasa FIFA mlikwenda kudai nini kama ubingwa si kitu? Povu lote lile la point 3 za mezani maana yake nini?Nikweli kabisa niheli tukiwafunga ndala cc tunafurahi kuliko hata kubeba kombe usajili wa msimu mzima zaidi ya milioni 800 harafu kikombe chaubingwa miloni80 hapa ndipo ninapoona uwenda wazimu wa soka la bongo
Ameeleweka.Umeandika kama mtto wangu wa darasa la 2