Wachezaji gani watatu wa kigeni wanapaswa kuachwa na Simba ili wabaki 10?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
20,716
45,115
Tupendekeze...
Adjustments.JPG
 
-Klabu ya Simba kesho inaingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wachezaji 28 ambao wataitumikia Simba msimu 2020/21.

Magolikipa
1-Aishi Manula
2-Beno Kakolanya
3-Ally Salim

Mabeki
4-Shomary Kapombe
5-David Kameta Duchu
6-Mohamed Hussein
7-Gadiel Michael
8-Erasto Nyoni
9-Pascal Wawa
10-Kennedy Juma
11-Ibrahim Ame
12-Joash Onyango

Viungo
13-Jonas Mkude
14-Gerson Fraga
15-Mzamiru Yassin
16-Hassan Dilunga
17-Said Ndemla
18-Clatous Chama
19-Fransis Kahata
20-Larry Bwalya
21-Miraji Athumani
22-Ibrahim Ajibu
23-Luis Miquissone
24-Benard Morrison

Washambuliaji
25-John Bocco
26-Meddie Kagere
27-Charles Alanfya
28-Chris Mugalu


*Kuna pahala nimeikuta. Ila hiyo kesho ni leo kwa kua ni taarifa ya Jana.
 
-Klabu ya Simba kesho inaingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wachezaji 28 ambao wataitumikia Simba msimu 2020/21.

Magolikipa
1-Aishi Manula
2-Beno Kakolanya
3-Ally Salim

Mabeki
4-Shomary Kapombe
5-David Kameta Duchu
6-Mohamed Hussein
7-Gadiel Michael
8-Erasto Nyoni
9-Pascal Wawa
10-Kennedy Juma
11-Ibrahim Ame
12-Joash Onyango

Viungo
13-Jonas Mkude
14-Gerson Fraga
15-Mzamiru Yassin
16-Hassan Dilunga
17-Said Ndemla
18-Clatous Chama
19-Fransis Kahata
20-Larry Bwalya
21-Miraji Athumani
22-Ibrahim Ajibu
23-Luis Miquissone
24-Benard Morrison

Washambuliaji
25-John Bocco
26-Meddie Kagere
27-Charles Alanfya
28-Chris Mugalu


*Kuna pahala nimeikuta. Ila hiyo kesho ni leo kwa kua ni taarifa ya Jana.

Hii inatakiwa kuhitimisha huu uzi maana ni hakika na kweli tupu
 
Back
Top Bottom