Wachekeshaji Bora Afrika Mashariki

Mbona Lusinde na Yule Goodluck hamjawaweka kwenye list??? Kwangu wale jamaa ni best stand up comedians of this generation East to the end of the world.
 
professa hamo wa churchill he is the best to me hata omondina kansiime wanasubiri
 
Bunge la tanzania weka namba moko.
 
Tatizo vijana humu wana munakri sana....wanataka yule wanayemkubali wao basi kila mtu amkubali.....hawajui kuwa watu tumetofautiana kimaoni......

Mimi binafsi huyo Majuto hata hanifurahishi kwa kuwa sioni ucheshi ndani yake zaidi ya mtu mzee anayependa kukunja sura tu......

Na nikimtazama hata huyo Kansiime hajawahi kunifurahisha....

Kwa kifupi komedi hizi east afrika mimi si mshabiki wazo....

Mimi ni mshabiki wa Charlie Chaplin.....

Lakini naheshimu maoni ya wengine na siwezi kumtusi mtu kwa kutkubaliana na vile ninavyopenda mimi......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…