Wachagga na Kahawa

Mbona povu? Kwani mzee Mohammed lengo lake lilikuwa ni kuandika historia yote ya wachagga? Lengo lake ni kuandika historia ya mzee Rajabu Kirama (Allah Amsamehe na Amrehemu) na labda historia ya Uislam Uchaggani.

Na ushasema vitabu vya historia ya wachagga vipo. Sasa tatizo liko wapi? Mzee Mohammed kachagua kuandika ya Uislam huko uchaggani. Povu la nini?
 
Kichwa pumbu lopolopo
Ndio maana huwa mnasoma kujibia mitihani, lakini ya kichwa ni boksi tupu
Unakurupuka hata kuandika hujui, hakuna sentensi, wala aya wala nukta wala mkato, ni kama ulikuwa unaharisha

Unaonekana ni kilaza elimu ilikupita kushoto unajaribu kujitutumua, haya umechutama mwenyewe..
Usivagamie vitu hata mada yeyewe hujaisoma kilaza...
 
Mzee malizia kitimoto unachokula usikabwe. Cjui umeandika nini hata au unaharisha
 
Nia yake kubwa ilikuwa hapo kwenye kusilimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…