Kwa hili hata mimi nilikuwa sijui, lazima ningesema jamaa kapiga fix ya kufa mtu. Ila wakati mwingine kabla hujamwita mwenzio muongo uliza kwanza kama alichoongea kina ukweli wowote kwa watu wengine.
vinaitwa fibere na vya chini vinaitwa ndala
ila mnakosea baadhi ya matumizi ya herufi za lugha yEtu
usahihi ni huu
mf-.ukitamka wa unaandika va,tena ni zile zinazoishia mwisho wa neno
vinaitwa fibere na vya chini vinaitwa ndala
ila mnakosea baadhi ya matumizi ya herufi za lugha yEtu
usahihi ni huu
mf-.ukitamka wa unaandika va,tena ni zile zinazoishia mwisho wa neno