nimeishi na wachaga sana,mchaga akifika mahali akishanunua kiwanja utaona jinsi atakavyobadilisha mazingira ya pale
mara bustani mara anapanda miti
ukienda kwao kule machame na marangu utafikiri ulaya,tuwape nchi waongoze kwa sababu wanaona mbali sana
ingekuwa nchi nyingine wangekuwa wameshapewa siku nyingi
lakini hapa kwetu tunakalia uswahili na maneno tuu,huyo kikwete ana uwezo gani wa kuleta mabadiliko?
nimeishi na wachaga sana,mchaga akifika mahali akishanunua kiwanja utaona jinsi atakavyobadilisha mazingira ya pale
mara bustani mara anapanda miti
ukienda kwao kule machame na marangu utafikiri ulaya,tuwape nchi waongoze kwa sababu wanaona mbali sana
ingekuwa nchi nyingine wangekuwa wameshapewa siku nyingi
lakini hapa kwetu tunakalia uswahili na maneno tuu,huyo kikwete ana uwezo gani wa kuleta mabadiliko?
nimeishi na wachaga sana,mchaga akifika mahali akishanunua kiwanja utaona jinsi atakavyobadilisha mazingira ya pale
mara bustani mara anapanda miti
ukienda kwao kule machame na marangu utafikiri ulaya,tuwape nchi waongoze kwa sababu wanaona mbali sana
ingekuwa nchi nyingine wangekuwa wameshapewa siku nyingi
lakini hapa kwetu tunakalia uswahili na maneno tuu,huyo kikwete ana uwezo gani wa kuleta mabadiliko?
Achane ukabila. Wachaga walipewa elimu mapema kuliko makabila mengi ya Tanzania. Wao ndio mafisadi wa nchi hii kwani wamejaa ofisi karibia zote na ni wachakachuzi wazuri hivyo haishangazi kuwaona wanaendelea kuliko baadhi yetu. Wao wanamtaji sisi hatuna.
Hizi ni myth tu mkuu, na hazija ishia hapo tu
Kuwa wachaga ni wakabila kupindukia, yaani mchaga ndugu yake ni mchaga tu, na ndio maana akiwepo boss sehemu atajaza wenzake tu wengine hamna chenu.
Mchaga yupo tayari kufanya lolote kupata hela, na ndio maana wanaongoza kwa ujambazi na makampuni ya kitapeli
Usioe mwanamke wa kichaga ukifanikiwa anakupoteza arithi mali.
Wasipewe uongozi wa nchi maana watageuza sehemu ya biashara kujipatia mali badala ya kuongoza and the list goes on
list ya myth ipo nyingi tu,
Do you agree with it?
We kweeeeli kilaza, Lowassa mchaga wa wapi?? Ss hatuibi kifala ww, unatumia masaburi kufikiriHivi Ujinga mtaacha lini? Hivi Mrema siyo Mchagga? Lowassa (FISADI #1) siyo Mchagga?
Ebu ondoa ****** wako hapa
Kuna jamaa yangu mmoja mchaga aliiba Tv ya shule,alafu peke yake yule jamaa..alafu hela yenyewe akalewea peke yake..
Yani wachaga bwana wezi halafu wana roho ngumu sana.
Ingekuwa vema kama ungeonyesha ushahidi wa nguvu kuhusu uletaji wao wa maendeleo na sio kupanda miti na maua kwenye nyumba zao. Hivi mimi nikipanda miti na maua nyumbani kwangu ndio maendeleo? Hivi unaongelea umaridadi au maendeleo? Hivi ni kabila gani linaongoza kwa wizi nchini?
Never wish utawaliwe na Mchagga utajiju. Naturally, Mchagga si kiongozi bali ni tapeli. Bora nitawaliwe na Chama Cha Mafisadi (CCM) kuliko kuwa chini ya Mchagga. Nyerere aliona mbali. Wachagga na wazee Wa katerero (wahaya),a big NO!