Wachaga ni Taifa Teule

Status
Not open for further replies.
Kabila lako wewe utadhubutu hata kulitaja hapa
Mimi ni muhaya huna kingine cha kusema.Kingine nimekwambia Malibu nilienda kukaa sio kazi na hakuna kazi za migambo kule.Nilipo fanya kazi ni Fochville naona unapenda ligi
 

Mkuu kule Marangu au Machame kuna maendeleo gani?
 
Ujasusi gani kiongozi?Barmaid ni kazi ya daraja la chini sana man.Hakuna ujasusi wala nini ni uwezo mdogo wa akili tu
Kama hujui vitu mzee kaa kimya. Kwa taarifa yako hata malaya wanaojiuza asilimia 60 ni majasusi achilia barmaid. Watu wakilewa ndio huongea ukweli so sehem muhim za kupata siri za watu ni bar au club. Au sehemu za starehe.
 
We endelea kujisifu ujinga, zanzibar na pwani wapo busy na nchi wanaifisadi, wanajenga wanawekeza we unaleta story za 47. Ndio maana magu aliwazingua, KAMDOMO.
 
Kama hujui vitu mzee kaa kimya. Kwa taarifa yako hata malaya wanaojiuza asilimia 60 ni majasusi achilia barmaid. Watu wakilewa ndio huongea ukweli so sehem muhim za kupata siri za watu ni bar au club. Au sehemu za starehe.
Wale wale kwamba jasusi ni kila mtu unayemuona njiani?akili zenu bhana eti wa hivi naye anakwambia hujui kitu.Malaya yupi ulinunua akakwambia ni jasusi?huyo jasusi kwako anatafuta nini kwako ambacho serikali inataka ambacho haiwezi kupata kwako bila kutumia malaya.Ujasusi hupo ila usipende kuongea hovyo hovyo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…