Wachaga ni Taifa Teule

Status
Not open for further replies.

Mangi Mlay

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2016
Posts
5,743
Reaction score
7,090
Ukikaa ukatafakari sana unagundua Wachaga siyo kabila la kawaida ni Taifa teule.
Mungu aliwakusanya watu kutoka sehemu mbalimbali toka Shungwaya Ethiopia, Congo, Cameroon, Uganda, na wengine toka kusini huko umbali hadi Zimbabwe akawakusanya Kilimanjaro.
Akawaweka chini ya ule Mlima mkuu akawagawa katika Koo zaidi ya 720, akawapa Wamangi wawaongoze na lahaja tofauti, akawatenganisha kwa mabonde ya mito akawabariki.
Hakuna tena Africa kabila lililofikia leval ya kuwa Taifa kama Wachaga
Nyerere mwenyewe hakuthubutu kuanzisha vijiji vya ujamaa kule
Nchi ile iliyobarikiwa Wajerumani walipokuja walifurahia system iliyokuwepo na kuiendeleza hiyo hiyo.
IQ za wachaga ni 120 wakati Watanzania wengine ni 60
Ukifika leo Uchagani unaona kabisa hawa kweli ni Taifa Tofauti.
Watu waliokuwa na Bendera yao, mipango yao na chini ya KDC
 

mimi ni big fan wa wenyeji wa mkoa wa klm lkn kukusahihisha kidogo wachaga siyo kabila kwa maana halisi ya neno kabila, ila kuita taifa inaweza kuwa sawa lkn siyo kabila ...
 
Kinachokusumbua mtoa mada ni

1. Ushamba uliotopea
2. Kukosa exposure
3. Ukabila
4. Ujinga wa kiasi fulani
5. Elimu ya kuunga unga
6. Kukosa adabu
7. Utoto usioisha hata kama ni mtu mzima
8. Makuzi hafifu

Hivi umewahi tembea sehemu zingine ukajifunza maisha?
 
Hawa wachaga ambao ni wahudumu wa baa huku kwetu Bariadi watoto wakisukuma wanaruka nao kila siku wakitoka na pesa zao maduarani ndio unasema wana IQ ya ngapi kiongozi?
Kuhusu hoja ya mleta mada, sikubaliani na wala sipingani nayo maana sina tafiti.

Ila swali langu kwako ni hili, hivi tukisema Jamii forums ni mtandao wa watu wenye akili, watakosekana kabisa watu wajinga na wapumbavu katika huu mtandao?
 
Kuhusu hoja ya mleta mada, sikubaliani na wala sipingani nayo maana sina tafiti.

Ila swali langu kwako ni hili, hivi tukisema Jamii forums ni mtandao wa watu wenye akili, watakosekana kabisa watu wajinga na wapumbavu katika huu mtandao?
Ukisema jamiiforums ni mtandao wa wenye akili na badae ukasema wajinga wapo.Hizi ni hoja mbili kinzani kwahiyo unahitaji kabla ya kutoa hitimisho lako uhakikishe hitimisho halina chance ya debate au doubt(otherwise ukubali criticism baada ya hitimisho lako.Ndio mambo hufanyika kiongozi)
 


Ukabila tu unakusumbua
 
Fanya wachaga hatuna akili na wote tunauza bar kiazi wewe🚮
Jamaa kisa wameguswa ndugu zako umekuja mbio kuwalinda.Tulia man sijasema wachaga ni hamnazo sema jamaa kawapa sifa nyingi ambazo hamna labda angesema mnapenda pesa ningekubali maana kuna dada yako nilimpromise laki hapa kila siku ni simu utadhani ni deni(hovyo kabisa)
 
Hata Waisraeli wanaambiwa hivyo hivyo. Lakini Nyerere katika kitabu chake Building Ujamaa in Tanzania ameeleza wazi Kilimanjaro ilikuwa tayari kama alivyotamani Tanzania nzima iwe.
Ni kabila lipi lililokuwa Tayari kuwa Taifa huru hapa Tanzania zaidi ya Wachaga?
Unasema sisi ni masikini lakini tukishajijengea lami hadi Marangu mwaka 1953 nyie kwenu kulikuwaje?
1959 tulienda UN kuomba Uhuru nyie leo 2025 mnahamasishana kujenga Vyoo vya shimo.
Uchagani hakuna rasilimali za asili kama ilivyo Singapore, Israel au Japan ila kuna Brain za maana ndio maana hakuna sehemu hayupo Mchaga penye maana.
Hivi leo Uchumi wa Tanzania bila Wachaga si ungekuwa chini ya Wahindi kwa 95%
Halafu Wachaga haimaanishi Kichaka hicho ni kilugha chako sisi tumehamia toka Shungwaya kwa kuongozwa na Mungu mwenyewe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…