kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Hivi mnajua kuwa Wachaga ndo watu wanaogoza kwa kuzaa watoto wachache nchini Tanzania hawazaliani sana?
Wapo bize kutafuta pesa, halafu uzungu mwingi sana kwa wachaga, ni nadra sana kumkuta mwanamke wa kichaga karne hii ana mpango wa kuzaa watoto watano
Kiukweli wengi wao wakizaa sana ni watoto watatu
Wapo bize kutafuta pesa, halafu uzungu mwingi sana kwa wachaga, ni nadra sana kumkuta mwanamke wa kichaga karne hii ana mpango wa kuzaa watoto watano
Kiukweli wengi wao wakizaa sana ni watoto watatu